Chaneli mpya ya star tv

KIBURUDISHO

JF-Expert Member
Joined
Mar 28, 2011
Posts
1,002
Reaction score
278
WanaJF mambo vp?. Kuna chaneli mpya ya Star tv ya Mwanza imeanzishwa inapatikana kwenye satelite ya NSS12 ku_band _57degree East inapopatikana KBC1 ila bado wako kwenye majaribio kwa parameter ya 11508/4080/H
 
So inaitwaje?hyo ya sahara comunication?i.e ya startv
 
WanaJF mambo vp?. Kuna chaneli mpya ya Star tv ya Mwanza imeanzishwa inapatikana kwenye satelite ya NSS12 ku_band _57degree East inapopatikana KBC1 ila bado wako kwenye majaribio kwa parameter ya 11508/4080/H

Inaitwaje? ni ya mjumuiko wa mambo yote au ni based kwenye documentaries, music oriented channel, soccer, news oriented, religious, cartoonist or...?
 
Nimewaambia bado iko kwenye majaribio haijajulikana itakuwa inahusika na nini kwa sababu inafunguliwa kwa masaa machache baadae inafungwa inaitwa STARTV_DAR_FEED
 
Nimewaambia bado iko kwenye majaribio haijajulikana itakuwa inahusika na nini kwa sababu inafunguliwa kwa masaa machache baadae inafungwa inaitwa STARTV_DAR_FEED

usikute ndio njia wanayoitumia wakifanya 'live broadcast' kutoka Dar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…