hakuwa amelala hapo huyo baba hana papala ktk mambo yake km ubongo wako unaroll tizama vizuri hyo picha utaona kuwa hajalala.atalalaje ilihali hapo alikuwa anagonga meza kusuport hoja.me ndo mana nasema cdm hamna akili mnajua upambe na kuchafuana.fanyeni siasa za akili la cvyo hata mkiruka hewan kwa baloon watanzania hawatawapa kura.mtaendelea kuwa vivuli.