kweli kabisa maximo next time aangalie hili....
....kusema ukweli wamejitahidi japo kagoli kamoja kanauma(hata kule.....) na kukera saana.....ukiachilia mbali sababu za kisaikolojia ambazo nafikiri wanasoka wetu wanapaswa kujengwa....hamna la ziada viungo walilelemewa mafowadi walishindwa kukaa na mipira...beki safi.......