Lakini in general tumejitahidi....tunaweza kusukuma gozi kumbe, niliwa andaestimeti Staz sana tu. marekebisho ya hapa na pale, timu ikiachiwa mafundi, majungu nje, fweza ya kuitengeneza ikiwepo, si muda mrefu na sisi tutakuwa na cha kujivunia......Mi naenda kulala, hakutokuwa na jipya tena hapa..