Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wakuu,
Kwa wenyeji wa Dodoma au ambao mmeshapitapita maeneo hayo , mabasi ya Champion / Super Champion yakuwa siyo mageni kwako.
Inasemekana tajiri wa hayo mabasi ni mtu kutoka Kondoa. Ni Mrangi...
Champion ametesa sana routes za Dodoma - Dsm , Dodoma - Arusha - Moshi , Dodoma Iringa , Dodoma - Kondoa etc..
Ni magari yaliyofungwa engines za kubwa za Scania, ni hatari sana.
Enzi hizo ilikuwa unatoka Dodoma Dsm go and return. Maisha yakawa yanaenda.
Kwasasa sizioni gari zake routes za Dodoma Moshi n.k.
Chuma kimekaza
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wenyeji wa Dodoma au ambao mmeshapitapita maeneo hayo , mabasi ya Champion / Super Champion yakuwa siyo mageni kwako.
Inasemekana tajiri wa hayo mabasi ni mtu kutoka Kondoa. Ni Mrangi...
Champion ametesa sana routes za Dodoma - Dsm , Dodoma - Arusha - Moshi , Dodoma Iringa , Dodoma - Kondoa etc..
Ni magari yaliyofungwa engines za kubwa za Scania, ni hatari sana.
Enzi hizo ilikuwa unatoka Dodoma Dsm go and return. Maisha yakawa yanaenda.
Kwasasa sizioni gari zake routes za Dodoma Moshi n.k.
Chuma kimekaza
Sent using Jamii Forums mobile app