mashoodjr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2016
- 2,221
- 1,500
Hawa wanausajili wa kufanya biashara nyingne sio iyo kumbuka desi nayo ilikua ivyo mwisho wa siku watu walitapeliwa kiongoziHabari za kazi wanajamvi.
Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.
Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.
Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.
Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.
Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.
Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
Makachero umewapa kazi mida hi labda wameisha vamiwaMe nilijiwekaga mbali na hizi biashara za cheusi chekundu, hata unifungie ndan siku 2 unipe semina siingiagi kwa hii mtego!
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari za kazi wanajamvi.
Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.
Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.
Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.
Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.
Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.
Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
Yaani wiki iliyopita nakuta namba yangu imeadiwa Tena na half Afro cell, Asee leseni zao ndiyo zilezile za Photoshop, yaani Kumbe Wana makundi mawili Afrocell na Champion.Dah me nimejikuta nimeadiwa group linaitwa Africell afu only admin anaweza post....leseni zao ziko photoshoped nikajua tu utapeli. Nimeleft nikasema ngoja ni watafute ndo nakuta uzi hii
Unapoteza sifa za kuwa jamii forum. JPM Alishasema elimu bure rudi ata MEKWAHabari za kazi wanajamvi.
Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.
Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.
Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.
Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.
Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.
Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
Hapana wakimpata wa kumtapeli wanampa km formu hv aweke namba za rafiki zake watano wanaamin zwazwa rafik zake pia ni mazwazwaHapa ndiyo maajabu yanaanza niliona tu namba yangu imeunganishwa kwenye group lao. Nadhani Kuna mahali wanapewa namba za wateja wanaofanya miamala Mara kwa mara.
Habari za kazi wanajamvi.
Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.
Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.
Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.
Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.
Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.
Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.
View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
wazee wa binaryBado wanadunda hawa watu.
Kuna dogo hapa kajikuta kwenye group lao sijui wanapata wapi namba za watu
Wangejua waliyemu add ana pesa ya bando tuu wangejihurumia
wazee wa binary
Mimi kilakaaa
Migodini utanikuta, shambani utankutaaa
Kwenye kuuza mafriji utankutaaa
Dili lolote halali ikinipitiaa mbele npigaaa
... Mshana Jr
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
pramid imeporomoka watu wapya hamna hapo ndo washapigwa ukiona ivyoSasa mbona binary inawashinda?? Hawalipi watu pesa zao
Kabisa bossKwa jasho unakula😃😃😃