Champion Investment matapeli Mwanza

Habari za kazi wanajamvi.

Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.

Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.

Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.

Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.

View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
Hawa wanausajili wa kufanya biashara nyingne sio iyo kumbuka desi nayo ilikua ivyo mwisho wa siku watu walitapeliwa kiongozi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za kazi wanajamvi.

Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.

Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.

Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.

Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.

View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291


Matapeli wanaishi vizuri kwa expense ya vilaza wa aina hii.
 
Dah me nimejikuta nimeadiwa group linaitwa Africell afu only admin anaweza post....leseni zao ziko photoshoped nikajua tu utapeli. Nimeleft nikasema ngoja ni watafute ndo nakuta uzi hii
 
Izi mambo zinawakutaga vijana wanaotaka maisha ya haraka, jamaa alikuja nilichomwambia, nilipie then faida tutagawana na mtaji wako nakurudishia na 10%.

Ukimwanbia hivyo siku akirudi mtengezee supu ya kuku wa kienyeji 😁!
 
Dah me nimejikuta nimeadiwa group linaitwa Africell afu only admin anaweza post....leseni zao ziko photoshoped nikajua tu utapeli. Nimeleft nikasema ngoja ni watafute ndo nakuta uzi hii
Yaani wiki iliyopita nakuta namba yangu imeadiwa Tena na half Afro cell, Asee leseni zao ndiyo zilezile za Photoshop, yaani Kumbe Wana makundi mawili Afrocell na Champion.

Sasa najiuliza hivi mbona hawachukuliwi hatua!??
 
Habari za kazi wanajamvi.

Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.

Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.

Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.

Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.

View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291
Unapoteza sifa za kuwa jamii forum. JPM Alishasema elimu bure rudi ata MEKWA
 
Habari za kazi wanajamvi.

Nimetapeliwa na kampuni inaitwa CHAMPION INVESTMENT ipo Mwanza wanajinasibu wamesajiliwa kisheria.

Nitaambatanisha nyaraka zao hapa chini.

Wanachofanya ni kukuunganisha kwenye group lao la Whatsapp halafu wanakwambia uwekeze kuanzia laki moja na na kuendelea baada ya siku tatu unapokea gawio la asilimia mia moja.

Kwa maana ya kuwa ukitoa laki moja utapokea laki mbili baada ya siku tatu. Juzi nilitoa hiyo pesa na leo ilikuwa nipokee gawio langu.

Naamka nawasha data naona namba yangu imekuwa removed nampigia admin kaniblock. Napiga kwa namba nyingine kapokea huyu anaitwa RICHARD EPHRAIM namba yake no 0716 340 435.

Wadau husika mkiwemo watendaji hebu naomba mnisaidie tuwakomeshe hawa MATAPELI wanaumiza watu.

View attachment 1326287View attachment 1326288View attachment 1326289View attachment 1326290View attachment 1326291


Bado wanadunda hawa watu.

Kuna dogo hapa kajikuta kwenye group lao sijui wanapata wapi namba za watu

Wangejua waliyemu add ana pesa ya bando tuu wangejihurumia
 
Back
Top Bottom