CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Apr 21, 2012 #1 husika na kichwa cha habari hapo juu.
King2 JF-Expert Member Nov 16, 2011 1,277 181 Apr 21, 2012 #3 Hebu acha kulipa air time la radio la marehemuz hilo.
mama D JF-Expert Member Nov 22, 2010 19,760 35,205 Apr 21, 2012 #4 huku kwetu wameshatu ngeleja mapeemaaaaa siwezi kuona.... anasema nini huyo mwizi wa kura??
WA-UKENYENGE JF-Expert Member Oct 1, 2011 2,918 1,233 Apr 21, 2012 #5 Mbona hakuna kitu mkuu!! CloudFm
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Feb 20, 2012 7,113 930 Apr 21, 2012 Thread starter #8 hakuonyesha ushirikiano ktk mahojiano so yalikua ni mahojiano mafupi sana kwa njia ya simu,but one pointless aliyoongea ni kwamba prezidar akimwambia aachie ngazi atatekeleza kwa ajiri ya kukinusuru chama.
hakuonyesha ushirikiano ktk mahojiano so yalikua ni mahojiano mafupi sana kwa njia ya simu,but one pointless aliyoongea ni kwamba prezidar akimwambia aachie ngazi atatekeleza kwa ajiri ya kukinusuru chama.
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Apr 21, 2012 #9 Mbona anajieleza sana huyu jamaa, tokea jana alijaza kurasa kwenye mablogu kibao...hivi alizaliwa na hicho cheo?,...si aondoke tu?
Mbona anajieleza sana huyu jamaa, tokea jana alijaza kurasa kwenye mablogu kibao...hivi alizaliwa na hicho cheo?,...si aondoke tu?
Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Apr 21, 2012 #10 PakaJimmy said: Mbona anajieleza sana huyu jamaa, tokea jana alijaza kurasa kwenye mablogu kibao...hivi alizaliwa na hicho cheo?,...si aondoke tu? Click to expand... Aliwekeza sana kwenye kampeni na bado hajarudisha hela zake! Labda anaona hataweza kurudisha kwa ubunge pekeyake!
PakaJimmy said: Mbona anajieleza sana huyu jamaa, tokea jana alijaza kurasa kwenye mablogu kibao...hivi alizaliwa na hicho cheo?,...si aondoke tu? Click to expand... Aliwekeza sana kwenye kampeni na bado hajarudisha hela zake! Labda anaona hataweza kurudisha kwa ubunge pekeyake!
S sparrow Member Apr 20, 2012 49 2 Apr 21, 2012 #11 Hata mm nashangaa na madudu yote ya tbs bado yu anaona uchungu kuachia ngazi..