Sio kweli, Chama yupo Congo DR anafuatilia me hi ya Berkane na Mazembe. Akitoka huko moja moja anamfuata Manara aliyekuwa anamlamba miguu. GSM kauza malalio ya kutosha kumlipa Chama.
Hata Morisson kafuata familia yake Ghana kwani keshapewa malalio ya kutosha atafikia kwenye vile vyumba pale mitaa ya Twiga na Jangwani.