GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,451
- 127,626
Nashauri kuwepo na chama cha wasiokuwa na ajira kitakachowatetea na kuwapigania vijana kupata ajira,uratibu wake uanzie hapahapa Jf
Nawasilisha
Nikiwa Mwenyekiti wake ( Taifa ) wa ' mpito ' na baadae wa ' jumla ' nitashukuru na kufurahi sana Mkuu. Nipigie chapuo / pande tafadhali.