Chama cha Wanajeshi wa Kikiristo - ASSOCIATION OF MILITARY CHRISTIAN FELLOWSHIPS (AMCF)


Kwani hiyo association ni kwa ajili ya kusali kusali si wanaenda kanisani?? mkuu mbona sikujakupata bado

Vipi waislamu wakianzisha association kama hiyo; mtakuwa mnasema the same language??

Mfumo kristo hadi jeshini twafaaaa...
 
teh teh hao ni alshabaab sorry LORD RESISTANCE ARMY:eyebrows::eyebrows:
 
Bana Hicho chama hakipo Jeshi la wananchi Tz. Nithibitishie kama kipo. Hizo tetesi kama za magazeti ya Udaku.
 
Kwani hiyo association ni kwa ajili ya kusali kusali si wanaenda kanisani?? mkuu mbona sikujakupata bado

Vipi waislamu wakianzisha association kama hiyo; mtakuwa mnasema the same language??

Mfumo kristo hadi jeshini twafaaaa...

Nakumbuka hata mimi nilipokuwa jeshini kwa mujibu wa sheria (JKT) tulikuwa na chama au unaweza kuita ushirika wetu na tulikuwa tunasali kama kawaida. Pia kulikuwa na chama cha waislam nao walikuwa wanakutana na wanasali na kuzungumza mambo yao ya dini yao.

Its quite logical, binadamu whether ni mwanajeshi, daktari, rubani, engineer etc, anamhitaji Mungu, na ana ruksa ya kukutana na wenzake katika kumuabudu na kujifunza juu ya Mungu ili mradi hawavunji sheria za nchi. Watajifunza vipi mambo ya muumba wao kama hawakutani? Hilo halina mjadala tunachokataa ni mfano wa Alshabaab ambao wao wanakutana na kupanga kuua watu in the name of their 'small capital letter' god.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…