Alloyce PR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2020
- 590
- 706
“Chama cha siasa si mali binafsi ya mtu, bali ni mali ya umma kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Sheria ya Vyama vya Siasa. Hivyo kinapaswa kuendeshwa kidemokrasia, kwa uwazi na kwa maslahi ya wananchi wote.” -Alloyce, P.R.