Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Chama kikongwe Nchini na maarufu kwa mchakato wa Katiba kinatarajia kuzindua kampeni zake Jumamosi hii jijini Dar es salaam kwa Kishindo kikubwa Sana. Wadau wote mnakaribishwa. Mimi sio msemaji wa chama Ila mdau wa MABADILIKO.
DON NALIMISON
Simu Na: 0682 94 29 01.
DON NALIMISON
Simu Na: 0682 94 29 01.