Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
NCCR Mageuzi Jimbo la Hai hawajasimamisha mgombea ili kumpisha Mwenyekiti wa CHADEMA na hivyo hivyo tunategemea CHADEMA wote wataelekeza nguvu zao zote kumpigia kura Mbunge James MBATIA kupitia NCCR MAGEUZI. Uongozi nikuachiana madaraka na kulindiana heshima
#DON NALIMISON
Simu Na. 0682 94 29 01.
#DON NALIMISON
Simu Na. 0682 94 29 01.