Maendeleo ya kweli ya nchi inategemea ustawi na uimara wa CCM, ikumbukwe CCM ni chama pekee chenye mizizi toka kaskazini hadi kusini, mashariki mpaka magharibi. Watz kwetu sote CCM ni mlezi wa mageuzi, tusishahau TULIKOTOKA!!! CDM ni mvua ya msimu tusibweteke nacho!!!
KIFO CHA CCM NI KURUDISHA NYUMA JITIHADA ZA WATZ KUJIKOMBOA KIUCHUMI NA KIFKRA
CCM tutumie matokeo ya kesi ya ubunge wa Igunga NA twende na wakati ILI:
1. Tutenganishe nafasi ya kisiasa na kiserikali
2. Raslimali na vyeo vya kiserikali visiwe ni kigezo cha kupatia kura
3. Tutumie vijana walioenda shule katika kuibua makombora ya kushambulia CDM majukwaani
4. Wakati umefika kwa Mwigulu, Nape, Lusinde kuachwa kutumika wakati wa kampeni
5. Tuepuke kutumia viongozi wa BAKWATA (Masheikh) kwa vile waislam walio wengi hawana mshiko na BAKWATA
purest vapour of the day! tuwachague tena CHAMA CHA MABWEPANDE ili muendelee kutukandamiza kwa kuchukua kinguvu pesa yetu ya NSSF! katika vitu vimeniuma ni hicho wallah! na kamwe sitashauri hata kizazi changu kuichagua ccm, ni bora kujua hakuna mtawala, kuliko mtawala atumiaye nguvu na mabavu!Maendeleo ya kweli ya nchi inategemea ustawi na uimara wa CCM, ikumbukwe CCM ni chama pekee chenye mizizi toka kaskazini hadi kusini, mashariki mpaka magharibi. Watz kwetu sote CCM ni mlezi wa mageuzi, tusishahau TULIKOTOKA!!! CDM ni mvua ya msimu tusibweteke nacho!!!
KIFO CHA CCM NI KURUDISHA NYUMA JITIHADA ZA WATZ KUJIKOMBOA KIUCHUMI NA KIFKRA
kabla ya kukaza buti ni vyema mkaangalia kama sole imetoboka au la!
Kwa haya maneno yako mheshimiwa nakuunga mkona kwani bado ccm tuna nafasi ya kuongoza nchi. labda kwa kuongezea hapo ni pamoja na kutimiza ahadi zake. hizi ndizo nguzo muhim kama viongozi wa chama watasimamia hili ccm bado tutawikaMaendeleo ya kweli ya nchi inategemea ustawi na uimara wa CCM, ikumbukwe CCM ni chama pekee chenye mizizi toka kaskazini hadi kusini, mashariki mpaka magharibi. Watz kwetu sote CCM ni mlezi wa mageuzi, tusishahau TULIKOTOKA!!! CDM ni mvua ya msimu tusibweteke nacho!!!
KIFO CHA CCM NI KURUDISHA NYUMA JITIHADA ZA WATZ KUJIKOMBOA KIUCHUMI NA KIFKRA
Kwa haya maneno yako mheshimiwa nakuunga mkona kwani bado ccm tuna nafasi ya kuongoza nchi. labda kwa kuongezea hapo ni pamoja na kutimiza ahadi zake. hizi ndizo nguzo muhim kama viongozi wa chama watasimamia hili ccm bado tutawikaMaendeleo ya kweli ya nchi inategemea ustawi na uimara wa CCM, ikumbukwe CCM ni chama pekee chenye mizizi toka kaskazini hadi kusini, mashariki mpaka magharibi. Watz kwetu sote CCM ni mlezi wa mageuzi, tusishahau TULIKOTOKA!!! CDM ni mvua ya msimu tusibweteke nacho!!!
KIFO CHA CCM NI KURUDISHA NYUMA JITIHADA ZA WATZ KUJIKOMBOA KIUCHUMI NA KIFKRA
CCM tutumie matokeo ya kesi ya ubunge wa Igunga kuwa ni changamoto na itupe funzo la kubadili namna ya uendeshaji wa kampeni za uchaguzi pamoja na timu ya kampeni.
Twende na wakati ILI:
1. Tutenganishe nafasi ya kisiasa na kiserikali
2. Raslimali na vyeo vya kiserikali visiwe ni kigezo cha kupatia kura
3. Tutumie vijana walioenda shule katika kuibua makombora ya kushambulia CDM majukwaani
4. Wakati umefika kwa Mwigulu, Nape, Lusinde kuachwa kutumika wakati wa kampeni
5. Tuepuke kutumia viongozi wa BAKWATA (Masheikh) kwa vile waislam walio wengi hawana mshiko na BAKWATA
Mwisho uchaguzi ndani ya chama mwaka huu, utumike kuwapata viongozi wenye dhamira ya kurudisha imani kwa wananchi na si vinginevyo.