Yiyu Sheping
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 1,720
- 841
Napata taabu kidogo tofauti ya magazeti ya udaku na unga wa brazil katika kuleta madhara kwa jamii.
Na washawasha!
Na washawasha!
Mnapokua mnatusaliti vijana wenzenu tunapowambia tuungane kuleta mabadiliko mnajifanya mna urafiki na wazee wa nguo za kijani- njano leo yamekufika umedhurumika unalialia ukomeee
Anamlalamikia Kinana au kaka yake ngosha mbona hukusema mwaka juzi ngosha atakulipa hataki mtu wa Kanda yake anyanyasikechama kimefirisika kwani yeye halijui hilo? mbona hata waandishi Wa Uhuru media wanafanya kazi bila malipo
Ameipenda mwenyewe,chaguo lake milele na avimbe apasuke,acha aisome namba eeeh ccm mbele kwa nyumaWakati anachukua tender alituinform au!!??ccm mbele kwa nyuma
Hivi unamwita mtumishi wa Mungu, ulishasoma magazeti yake ya udaku? Mhu kama ni hivyo huyo mungu ana kazi.Kila mwenye ufahamu hawezi kujiungamanisha na hicho kikundi. Ninakupa pole sana mtumishi wa Mungu kwa kuwa haukumuuliza Roho Mtakatifu kwanza kabla ya kujiungamanisha nao. Mungu akutie nguvu huenda akakupatia kwa njia nyingine