Chama cha Madaktari(MAT) watofautiana na Serikali juu ya kupeleka madaktari nchini Kenya

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,242
34,903
mat.png
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU HATUA YA SERIKALI KUPELEKA MADAKTARI NCHINI KENYA

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) ni chama cha kitaaluma cha Madaktari wa binadamu kilichoanzishwa mwaka 1965 kwa madhumuni ya kuendeleza na kuwalea wanataaluma kimaadili na ueledi wa kitaaluma na kusimamia taaluma ya udaktari nchini. Hivyo basi chama hiki kinajukumu la kuwasimamia kwa kushirikiana na Baraza la Madaktari Tanganyika(MCT) katika kutoa huduma iliyotukuka kama inavyokusudiwa na jamii na kusimamia maslahi mapana ya madaktari.

1.0: Utangulizi

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimepata taarifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuwa siku ya tarehe 18 Machi 2017 Serikali ya Tanzania kupitia kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Joseph Magufuli ilikubali ombi la Serikali ya Kenya kupeleka Madaktari takribani 500 kwa lengo la kutoa huduma za afya katika Hospitali zake.

Pia Chama kimeona nakala ya barua katika mitandao ya kijamii kutoka katika Ofisi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dr. Ulisubisya Mpoki inayotoa maelekezo ya maombi ya kazi kwa Madaktari wahitaji wanaotaka kwenda Kenya kwa ajili ya kufanya kazi.

Hivyo basi ni muhimu kufahamu kwamba jambo hili nyeti limefanyika bila MAT kushirikishwa katika hatua yeyote. Baada ya taarifa hii kutolewa, ni jukumu letu kama chama cha kitaaluma kutoa ushauri ,maoni na mapendekezo ili kuweza kujenga ustawi bora na udugu wa wanataaluma ndani na nje ya mipaka ya nchi yetu.

2.0: Kiwango cha Upungufuwa wa Madaktari

Kwa mujibu wa ripoti ya Task Sharing policy Guidelines for Health Sector Services in Tanzania, ya mwaka 2016, inataja sekta ya afya kuwa na upungufu mkubwa sana wa watumishi wa afya hususani kada ya Madaktari. Mfano, katika Vituo vya afya(Health Centres), Mahitaji ni madaktari 771 wakati waliopo ni 57 tu, kwa Hospitali za Wilaya mahitajini 1,760 waliopo ni 441 tu na wakati kwa hospitali za Mikoa Mahitaji ni 725 walioponi 328 . Kwa ujumla Tanzania ina upungufu wa Madaktari takribani 2,430 ambao ni sawa na asilimia sabini na tano (75%).

Hivyo basi, Tanzania tunahitaji zaidi madaktari pegine kuliko Kenya. Ni vema kufahamu kwamba taarifa iliyotolewa na Chama cha Madaktari cha Kenya kupitia kwa katibu Mkuu Dr.Ouma Oluga inataja kuwa mpaka sasa Kenya ina Madaktari takribani 1,400 ambao bado hawajaajiriwa na wapo katika msururu wa kusubiri ajira kutoka katika Serikali yao.

Pia ni muhimu kutambua ya kwamba Madaktari wa Kenya wamekuwa katikaMgomo kwa takribani siku 100 uliokuwa na lengo la kushinikiza maboresho ya maslai yao pamoja na mazingiraya kazi, Na kwa taarifa tulizonazo ni kwamba pande husika zilisaini makubaliano Tarehe 18 Machi 2017 na kwa sasa wanasubiri utekelezaji wa makubaliano husika.

3.0 :Mtazamo wa Madaktari wa Kenya

Kumekuwa na maoni tofauti juu ya Madaktari wa Tanzania, huku asilimia kubwa wakipinga hatua hiyo kwa kigezo kwamba Kenya ina Madaktari ambao bado wanasubiri ajira na hivyo kuishauri Serikali yao kuajiri kwanza wazawa kabla yawageni. Hili linathibitishwa na kura ya maoni iliyoendeshwa na kituo cha Televisheni cha KTN ambapo zaidi ya asilimia 60 walipinga ujio wa Madaktari kutoka Tanzania.

Baadhi yao wamekuwa na dhana kwamba ujio wa Madaktari kutoka Tanzania unalengo la kuhujumu makubaliano yao ambayo utekelezaji wake bado haujaanza. Licha ya hayo, kumekuwa na jumbe za chuki katika mitandao mbalimbali zinazodhihirisha ukinzani wa wanataaluma wa Kenya dhidi ya Serikali yao, na uamuzi wa kuwaleta Madaktari kutoka Tanzania.

4.0: Mtazamo wa Madaktari wa Tanzania

Pia kumekuwa na maoni tofauti huku baadhi wakipinga na wengine wakiunga mkono na kuona fursa muhimu ya kupata ajira hasa kwa wale ambao hawana ajira. Wengi wanaopinga wanatoa hoja kuhusu hali ya usalama nchini Kenya, tatizo la ukosefu wa ajira na Mtazamo hasi wa jamii ya Kenya dhidi ya Madaktari wa Tanzania.

5.0: MASWALI MUHIMU KWA SERIKALI.

Kwa kuwa MAT haikushirikishwa katika hatua yeyote na hivyo kukosa fursa yakufahamu lolote, Hivyo basi tungependa kupata ufafanuzi kuhusu masualayafuatayo ;Kwa nini Serikali ya Kenya imeshindwa kuajiri Madaktari wake na kuanza kutafuta Madaktari kutokaTanzania huku ikizingatiwa kwamba malipo ya Madaktari wa Tanzania yatakuwa makubwa zaidi ya wenyeji ?

Kwa nini ombi hili limefanyika kipindi cha mgomo, na utekelezaji wake umekuja siku chache baada ya kuweka makubaliano ya kusitisha mgomo?

Kwa nini suala hili linafanyika wakati wa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu 2017?
Ni nani atawajibika katika suala la usalama wa raia wetu, ikizingatiwa kwamba tayari kuna viashiria vya chuki, na ikizingatia Kenya bado ina changamoto za kiusalama?
Ni kwa jinsi gani Madaktari wataweza kufanya kazi bila kukamilisha taratibu za kisheria kama vile kufanya mitihani ya Bodi na kusajiliwa ilikupata uhalali wa kutibu?

6.0: HITIMISHO

MAT ingeunga mkono jambo hili kama lingefanyika katika muda muafaka na likiwa shirikishi.

Na kwa kuwa mpaka sasa Serikali ya Kenya bado haijaanza kutekeleza matakwa ya makubaliano baina yake na Madaktari wao.
Na kwa kuwa taratibu za kufanya kazi katika nchi nyingi zinataka daktari husika kusajiliwa na Bodi husika ili kupata leseni kwa kufanya mitihani inayochukua takribani siku (90)

Na kwa kuwa Madaktari wengi wa Tanzania wanaweza kuwa wageni kabisa katika ardhi ya Kenya.Na kwa kuwa Kunaupungufu mkubwa wa Madktari Tanzania hata Kuliko Kenya

MAT inasisitiza kwamba;

Ni muhimu kusitisha zoezi la kuwapeleka Madaktari wa Tanzania mpaka hapo Serikali yaKenya itakapoanza utekelezaji wa makubaliano kati yake na Madaktari wao.

Serilali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itafute namna ya kuwaajiri madaktari wake ili kuziba pengo kubwa la upungufu wa madaktari nchini.

(signature)

IMETOLEWA NA CHAMA CHA MADAKTARI TANNZANIA
 

Attachments

  • TAARIFA-MADAKTARI_KWENDA_KENYA[1].pdf
    99.4 KB · Views: 130
Hakuna wa kumpangia Rais pa kuwapeleka wataalam wa nchi hii!
Maswala ya mtu kwenda au kutokwenda ni la mtu binafsi. Mgomo wa madaktari kenya una mkono wa kisiasa ili wakenya waichukie serikali kwa kukosa matibabu mwasisi wa mgomo kenya ni katibu mkuu wa Chadema Dr mashinji ambaye ndie alikuwa mwasisi wa mgomo wa madaktari Tanzania uliosababisha vifo vya watanzania kibao ili watu waichukie serikali waipigie chadema. Huyu mashinji ndio architect wa kushauri madaktari kenya wagome ili wamwangushe kenyatta uchaguzi unaokuja . Chadema ni chama rafiki wa vyama vya upinzani kenya. Mateso wanayopata wagonjwa kenya yamesababishwa na Chadema. Chadema inahusika na kuingilia uchaguzi kenya kupitia Dr. Mashinji ambaye alipewa ukatibu mkuu wa chadema baada ya kupewa cheo hicho kama zawadi ya kusimamia mauaji ya kimbari ya wagonjwa mahospitalini yaliyosababishwa na mgomo wa madaktari aliousimamia
 
Maswala ya mtu kwenda au kutokwenda ni la mtu binafsi. Mgomo wa madaktari kenya una mkono wa kisiasa ili wakenya waichukie serikali kwa kukosa matibabu mwasisi wa mgomo kenya ni katibu mkuu wa Chadema Dr mashinji ambaye ndie alikuwa mwasisi wa mgomo wa madaktari Tanzania uliosababisha vifo vya watanzania kibao ili watu waichukie serikali waipigie chadema. Huyu mashinji ndio architect wa kushauri madaktari kenya wagome ili wamwangushe kenyatta uchaguzi unaokuja . Chadema ni chama rafiki wa vyama vya upinzani kenya. Mateso wanayopata wagonjwa kenya yamesababishwa na Chadema. Chadema inahusika na kuingilia uchaguzi kenya kupitia Dr. Mashinji ambaye alipewa ukatibu mkuu wa chadema baada ya kupewa cheo hicho kama zawadi ya kusimamia mauaji ya kimbari ya wagonjwa mahospitalini yaliyosababishwa na mgomo wa madaktari aliousimamia
mhhhhhh haya bana
 
Tuna uhaba wa ma dr ila tunawapeleka Kenya haha haha hii series kiboko! Lkn niwasaidie ni kwamba serikali ya tz haina hela ya kulipa ajira mpya so wamepata upenyo hawaoni hayo madhara mengine na yeye keshasema haambiliki ndo jina lake!
 
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU HATUA YA SERIKALI KUPELEKA MADAKTARI NCHINI KENYA

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) ni chama cha kitaaluma cha Madaktari wa binadamu kilichoanzishwa mwaka 1965 kwa madhumuni ya kuendeleza na kuwalea wanataaluma kimaadili na ueledi wa kitaaluma na kusimamia taaluma ya udaktari nchini. Hivyo basi chama hiki kinajukumu la kuwasimamia kwa kushirikiana na Baraza la Madaktari Tanganyika(MCT) katika kutoa huduma iliyotukuka kama inavyokusudiwa na jamii na kusimamia maslahi mapana ya madaktari.

1.0: Utangulizi

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimepata taarifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuwa siku ya tarehe 18 Machi 2017 Serikali ya Tanzania kupitia kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Joseph Magufuli ilikubali ombi la Serikali ya Kenya kupeleka Madaktari takribani 500 kwa lengo la kutoa huduma za afya katika Hospitali zake.

Pia Chama kimeona nakala ya barua katika mitandao ya kijamii kutoka katika Ofisi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dr. Ulisubisya Mpoki inayotoa maelekezo ya maombi ya kazi kwa Madaktari wahitaji wanaotaka kwenda Kenya kwa ajili ya kufanya kazi.

Hivyo basi ni muhimu kufahamu kwamba jambo hili nyeti limefanyika bila MAT kushirikishwa katika hatua yeyote. Baada ya taarifa hii kutolewa, ni jukumu letu kama chama cha kitaaluma kutoa ushauri ,maoni na mapendekezo ili kuweza kujenga ustawi bora na udugu wa wanataaluma ndani na nje ya mipaka ya nchi yetu.

2.0: Kiwango cha Upungufuwa wa Madaktari

Kwa mujibu wa ripoti ya Task Sharing policy Guidelines for Health Sector Services in Tanzania, ya mwaka 2016, inataja sekta ya afya kuwa na upungufu mkubwa sana wa watumishi wa afya hususani kada ya Madaktari. Mfano, katika Vituo vya afya
( Health Centres), Mahitaji ni madaktari 771 wakati waliopo ni 57 tu, kwa Hospitali za Wilaya mahitajini 1,760 waliopo ni 441 tu na wakati kwa hospitali za Mikoa Mahitaji ni 725 walioponi 328 . Kwa ujumla Tanzania ina upungufu wa Madaktari takribani 2,430 ambao ni sawa na asilimia sabini na tano (75%).

Hivyo basi, Tanzania tunahitaji zaidi madaktari pegine kuliko Kenya. Ni vema kufahamu kwamba taarifa iliyotolewa na Chama cha Madaktari cha Kenya kupitia kwa katibu Mkuu Dr.Ouma Oluga inataja kuwa mpaka sasa Kenya ina Madaktari takribani 1,400 ambao bado hawajaajiriwa na wapo katika msururu wa kusubiri ajira kutoka katika Serikali yao.

Pia ni muhimu kutambua ya kwamba Madaktari wa Kenya wamekuwa katikaMgomo kwa takribani siku 100 uliokuwa na lengo la kushinikiza maboresho ya maslai yao pamoja na mazingiraya kazi, Na kwa taarifa tulizonazo ni kwamba pande husika zilisaini makubaliano Tarehe 18 Machi 2017 na kwa sasa wanasubiri utekelezaji wa makubaliano husika.

3.0 :Mtazamo wa Madaktari wa Kenya

Kumekuwa na maoni tofauti juu ya Madaktari wa Tanzania, huku asilimia kubwa wakipinga hatua hiyo kwa kigezo kwamba Kenya ina Madaktari ambao bado wanasubiri ajira na hivyo kuishauri Serikali yao kuajiri kwanza wazawa kabla yawageni. Hili linathibitishwa na kura ya maoni iliyoendeshwa na kituo cha Televisheni cha KTN ambapo zaidi ya asilimia 60 walipinga ujio wa Madaktari kutoka Tanzania.

Baadhi yao wamekuwa na dhana kwamba ujio wa Madaktari kutoka Tanzania unalengo la kuhujumu makubaliano yao ambayo utekelezaji wake bado haujaanza. Licha ya hayo, kumekuwa na jumbe za chuki katika mitandao mbalimbali zinazodhihirisha ukinzani wa wanataaluma wa Kenya dhidi ya Serikali yao, na uamuzi wa kuwaleta Madaktari kutoka Tanzania.

4.0: Mtazamo wa Madaktari wa Tanzania

Pia kumekuwa na maoni tofauti huku baadhi wakipinga na wengine wakiunga mkono na kuona fursa muhimu ya kupata ajira hasa kwa wale ambao hawana ajira. Wengi wanaopinga wanatoa hoja kuhusu hali ya usalama nchini Kenya, tatizo la ukosefu wa ajira na Mtazamo hasi wa jamii ya Kenya dhidi ya Madaktari wa Tanzania.

5.0: MASWALI MUHIMU KWA SERIKALI.

Kwa kuwa MAT haikushirikishwa katika hatua yeyote na hivyo kukosa fursa yakufahamu lolote, Hivyo basi tungependa kupata ufafanuzi kuhusu masualayafuatayo ;Kwa nini Serikali ya Kenya imeshindwa kuajiri Madaktari wake na kuanza kutafuta Madaktari kutokaTanzania huku ikizingatiwa kwamba malipo ya Madaktari wa Tanzania yatakuwa makubwa zaidi ya wenyeji ?

Kwa nini ombi hili limefanyika kipindi cha mgomo, na utekelezaji wake umekuja siku chache baada ya kuweka makubaliano ya kusitisha mgomo?

Kwa nini suala hili linafanyika wakati wa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu 2017?
Ni nani atawajibika katika suala la usalama wa raia wetu, ikizingatiwa kwamba tayari kuna viashiria vya chuki, na ikizingatia Kenya bado ina changamoto za kiusalama?
Ni kwa jinsi gani Madaktari wataweza kufanya kazi bila kukamilisha taratibu za kisheria kama vile kufanya mitihani ya Bodi na kusajiliwa ilikupata uhalali wa kutibu?

6.0: HITIMISHO

MAT ingeunga mkono jambo hili kama lingefanyika katika muda muafaka na likiwa shirikishi.

Na kwa kuwa mpaka sasa Serikali ya Kenya bado haijaanza kutekeleza matakwa ya makubaliano baina yake na Madaktari wao.
Na kwa kuwa taratibu za kufanya kazi katika nchi nyingi zinataka daktari husika kusajiliwa na Bodi husika ili kupata leseni kwa kufanya mitihani inayochukua takribani siku (90)

Na kwa kuwa Madaktari wengi wa Tanzania wanaweza kuwa wageni kabisa katika ardhi ya Kenya.Na kwa kuwa Kunaupungufu mkubwa wa Madktari Tanzania hata Kuliko Kenya

MAT inasisitiza kwamba;

Ni muhimu kusitisha zoezi la kuwapeleka Madaktari wa Tanzania mpaka hapo Serikali yaKenya itakapoanza utekelezaji wa makubaliano kati yake na Madaktari wao.

Serilali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itafute namna ya kuwaajiri madaktari wake ili kuziba pengo kubwa la upungufu wa madaktari nchini.

(signature)

IMETOLEWA NA CHAMA CHA MADAKTARI TANNZANIA
Hili tamko sio MAT ni la CHadema kazi ya MAT sio kupigania haki za madaktari wa kenya hilo halimo kwenye katiba yao. Nimesoma hizo paragraph Mbili za mwisho nikaona wazi huyo mwandishi sio MAT sababu alichoandika hapo sio mandate ya MAT. Na niulize swali wanachama wa MAT walikaa lini kupitisha hilo tamko? Mwandishi katoa wapi nguvu ya kisheria kutoa tamko kama hilo ambalo ni zito bila kushirikisha mkutano mkuu wa wanachama wa MAT?
 
TAARIFA KWA UMMA KUHUSU HATUA YA SERIKALI KUPELEKA MADAKTARI NCHINI KENYA

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) ni chama cha kitaaluma cha Madaktari wa binadamu kilichoanzishwa mwaka 1965 kwa madhumuni ya kuendeleza na kuwalea wanataaluma kimaadili na ueledi wa kitaaluma na kusimamia taaluma ya udaktari nchini. Hivyo basi chama hiki kinajukumu la kuwasimamia kwa kushirikiana na Baraza la Madaktari Tanganyika(MCT) katika kutoa huduma iliyotukuka kama inavyokusudiwa na jamii na kusimamia maslahi mapana ya madaktari.

1.0: Utangulizi

Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimepata taarifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari kuwa siku ya tarehe 18 Machi 2017 Serikali ya Tanzania kupitia kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dr John Pombe Joseph Magufuli ilikubali ombi la Serikali ya Kenya kupeleka Madaktari takribani 500 kwa lengo la kutoa huduma za afya katika Hospitali zake.

Pia Chama kimeona nakala ya barua katika mitandao ya kijamii kutoka katika Ofisi ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dr. Ulisubisya Mpoki inayotoa maelekezo ya maombi ya kazi kwa Madaktari wahitaji wanaotaka kwenda Kenya kwa ajili ya kufanya kazi.

Hivyo basi ni muhimu kufahamu kwamba jambo hili nyeti limefanyika bila MAT kushirikishwa katika hatua yeyote. Baada ya taarifa hii kutolewa, ni jukumu letu kama chama cha kitaaluma kutoa ushauri ,maoni na mapendekezo ili kuweza kujenga ustawi bora na udugu wa wanataaluma ndani na nje ya mipaka ya nchi yetu.

2.0: Kiwango cha Upungufuwa wa Madaktari

Kwa mujibu wa ripoti ya Task Sharing policy Guidelines for Health Sector Services in Tanzania, ya mwaka 2016, inataja sekta ya afya kuwa na upungufu mkubwa sana wa watumishi wa afya hususani kada ya Madaktari. Mfano, katika Vituo vya afya
( Health Centres), Mahitaji ni madaktari 771 wakati waliopo ni 57 tu, kwa Hospitali za Wilaya mahitajini 1,760 waliopo ni 441 tu na wakati kwa hospitali za Mikoa Mahitaji ni 725 walioponi 328 . Kwa ujumla Tanzania ina upungufu wa Madaktari takribani 2,430 ambao ni sawa na asilimia sabini na tano (75%).

Hivyo basi, Tanzania tunahitaji zaidi madaktari pegine kuliko Kenya. Ni vema kufahamu kwamba taarifa iliyotolewa na Chama cha Madaktari cha Kenya kupitia kwa katibu Mkuu Dr.Ouma Oluga inataja kuwa mpaka sasa Kenya ina Madaktari takribani 1,400 ambao bado hawajaajiriwa na wapo katika msururu wa kusubiri ajira kutoka katika Serikali yao.

Pia ni muhimu kutambua ya kwamba Madaktari wa Kenya wamekuwa katikaMgomo kwa takribani siku 100 uliokuwa na lengo la kushinikiza maboresho ya maslai yao pamoja na mazingiraya kazi, Na kwa taarifa tulizonazo ni kwamba pande husika zilisaini makubaliano Tarehe 18 Machi 2017 na kwa sasa wanasubiri utekelezaji wa makubaliano husika.

3.0 :Mtazamo wa Madaktari wa Kenya

Kumekuwa na maoni tofauti juu ya Madaktari wa Tanzania, huku asilimia kubwa wakipinga hatua hiyo kwa kigezo kwamba Kenya ina Madaktari ambao bado wanasubiri ajira na hivyo kuishauri Serikali yao kuajiri kwanza wazawa kabla yawageni. Hili linathibitishwa na kura ya maoni iliyoendeshwa na kituo cha Televisheni cha KTN ambapo zaidi ya asilimia 60 walipinga ujio wa Madaktari kutoka Tanzania.

Baadhi yao wamekuwa na dhana kwamba ujio wa Madaktari kutoka Tanzania unalengo la kuhujumu makubaliano yao ambayo utekelezaji wake bado haujaanza. Licha ya hayo, kumekuwa na jumbe za chuki katika mitandao mbalimbali zinazodhihirisha ukinzani wa wanataaluma wa Kenya dhidi ya Serikali yao, na uamuzi wa kuwaleta Madaktari kutoka Tanzania.

4.0: Mtazamo wa Madaktari wa Tanzania

Pia kumekuwa na maoni tofauti huku baadhi wakipinga na wengine wakiunga mkono na kuona fursa muhimu ya kupata ajira hasa kwa wale ambao hawana ajira. Wengi wanaopinga wanatoa hoja kuhusu hali ya usalama nchini Kenya, tatizo la ukosefu wa ajira na Mtazamo hasi wa jamii ya Kenya dhidi ya Madaktari wa Tanzania.

5.0: MASWALI MUHIMU KWA SERIKALI.

Kwa kuwa MAT haikushirikishwa katika hatua yeyote na hivyo kukosa fursa yakufahamu lolote, Hivyo basi tungependa kupata ufafanuzi kuhusu masualayafuatayo ;Kwa nini Serikali ya Kenya imeshindwa kuajiri Madaktari wake na kuanza kutafuta Madaktari kutokaTanzania huku ikizingatiwa kwamba malipo ya Madaktari wa Tanzania yatakuwa makubwa zaidi ya wenyeji ?

Kwa nini ombi hili limefanyika kipindi cha mgomo, na utekelezaji wake umekuja siku chache baada ya kuweka makubaliano ya kusitisha mgomo?

Kwa nini suala hili linafanyika wakati wa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu 2017?
Ni nani atawajibika katika suala la usalama wa raia wetu, ikizingatiwa kwamba tayari kuna viashiria vya chuki, na ikizingatia Kenya bado ina changamoto za kiusalama?
Ni kwa jinsi gani Madaktari wataweza kufanya kazi bila kukamilisha taratibu za kisheria kama vile kufanya mitihani ya Bodi na kusajiliwa ilikupata uhalali wa kutibu?

6.0: HITIMISHO

MAT ingeunga mkono jambo hili kama lingefanyika katika muda muafaka na likiwa shirikishi.

Na kwa kuwa mpaka sasa Serikali ya Kenya bado haijaanza kutekeleza matakwa ya makubaliano baina yake na Madaktari wao.
Na kwa kuwa taratibu za kufanya kazi katika nchi nyingi zinataka daktari husika kusajiliwa na Bodi husika ili kupata leseni kwa kufanya mitihani inayochukua takribani siku (90)

Na kwa kuwa Madaktari wengi wa Tanzania wanaweza kuwa wageni kabisa katika ardhi ya Kenya.Na kwa kuwa Kunaupungufu mkubwa wa Madktari Tanzania hata Kuliko Kenya

MAT inasisitiza kwamba;

Ni muhimu kusitisha zoezi la kuwapeleka Madaktari wa Tanzania mpaka hapo Serikali yaKenya itakapoanza utekelezaji wa makubaliano kati yake na Madaktari wao.

Serilali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania itafute namna ya kuwaajiri madaktari wake ili kuziba pengo kubwa la upungufu wa madaktari nchini.

(signature)

IMETOLEWA NA CHAMA CHA MADAKTARI TANNZANIA
Ila MAT mmechemka ile mbaya
 
Maswala ya mtu kwenda au kutokwenda ni la mtu binafsi. Mgomo wa madaktari kenya una mkono wa kisiasa ili wakenya waichukie serikali kwa kukosa matibabu mwasisi wa mgomo kenya ni katibu mkuu wa Chadema Dr mashinji ambaye ndie alikuwa mwasisi wa mgomo wa madaktari Tanzania uliosababisha vifo vya watanzania kibao ili watu waichukie serikali waipigie chadema. Huyu mashinji ndio architect wa kushauri madaktari kenya wagome ili wamwangushe kenyatta uchaguzi unaokuja . Chadema ni chama rafiki wa vyama vya upinzani kenya. Mateso wanayopata wagonjwa kenya yamesababishwa na Chadema. Chadema inahusika na kuingilia uchaguzi kenya kupitia Dr. Mashinji ambaye alipewa ukatibu mkuu wa chadema baada ya kupewa cheo hicho kama zawadi ya kusimamia mauaji ya kimbari ya wagonjwa mahospitalini yaliyosababishwa na mgomo wa madaktari aliousimamia
Hivi unafahamu kuwa hata sisi tuna bongo zetu?
 
Maswala ya mtu kwenda au kutokwenda ni la mtu binafsi. Mgomo wa madaktari kenya una mkono wa kisiasa ili wakenya waichukie serikali kwa kukosa matibabu mwasisi wa mgomo kenya ni katibu mkuu wa Chadema Dr mashinji ambaye ndie alikuwa mwasisi wa mgomo wa madaktari Tanzania uliosababisha vifo vya watanzania kibao ili watu waichukie serikali waipigie chadema. Huyu mashinji ndio architect wa kushauri madaktari kenya wagome ili wamwangushe kenyatta uchaguzi unaokuja . Chadema ni chama rafiki wa vyama vya upinzani kenya. Mateso wanayopata wagonjwa kenya yamesababishwa na Chadema. Chadema inahusika na kuingilia uchaguzi kenya kupitia Dr. Mashinji ambaye alipewa ukatibu mkuu wa chadema baada ya kupewa cheo hicho kama zawadi ya kusimamia mauaji ya kimbari ya wagonjwa mahospitalini yaliyosababishwa na mgomo wa madaktari aliousimamia
Akili zako ni fupi kweli kweli
 
Maswala ya mtu kwenda au kutokwenda ni la mtu binafsi. Mgomo wa madaktari kenya una mkono wa kisiasa ili wakenya waichukie serikali kwa kukosa matibabu mwasisi wa mgomo kenya ni katibu mkuu wa Chadema Dr mashinji ambaye ndie alikuwa mwasisi wa mgomo wa madaktari Tanzania uliosababisha vifo vya watanzania kibao ili watu waichukie serikali waipigie chadema. Huyu mashinji ndio architect wa kushauri madaktari kenya wagome ili wamwangushe kenyatta uchaguzi unaokuja . Chadema ni chama rafiki wa vyama vya upinzani kenya. Mateso wanayopata wagonjwa kenya yamesababishwa na Chadema. Chadema inahusika na kuingilia uchaguzi kenya kupitia Dr. Mashinji ambaye alipewa ukatibu mkuu wa chadema baada ya kupewa cheo hicho kama zawadi ya kusimamia mauaji ya kimbari ya wagonjwa mahospitalini yaliyosababishwa na mgomo wa madaktari aliousimamia

Walai ungekua karibu yangu ningekumaliza.
 
Maswala ya mtu kwenda au kutokwenda ni la mtu binafsi. Mgomo wa madaktari kenya una mkono wa kisiasa ili wakenya waichukie serikali kwa kukosa matibabu mwasisi wa mgomo kenya ni katibu mkuu wa Chadema Dr mashinji ambaye ndie alikuwa mwasisi wa mgomo wa madaktari Tanzania uliosababisha vifo vya watanzania kibao ili watu waichukie serikali waipigie chadema. Huyu mashinji ndio architect wa kushauri madaktari kenya wagome ili wamwangushe kenyatta uchaguzi unaokuja . Chadema ni chama rafiki wa vyama vya upinzani kenya. Mateso wanayopata wagonjwa kenya yamesababishwa na Chadema. Chadema inahusika na kuingilia uchaguzi kenya kupitia Dr. Mashinji ambaye alipewa ukatibu mkuu wa chadema baada ya kupewa cheo hicho kama zawadi ya kusimamia mauaji ya kimbari ya wagonjwa mahospitalini yaliyosababishwa na mgomo wa madaktari aliousimamia

Yehodaya Mungu anakuona ujue!
 
BBC:-Chama cha Madaktari nchini Tanzania kimepinga mpango wa kuwatuma madaktari 500 nchini Kenya wakisema Tanzania ina upungufu mkubwa wa madaktari.
Hii inafuatia makubaliano kati ya serikali ya Tanzania na Kenya mwishoni mwa wiki ambapo madaktari wapatao 500 watapata ajira nchini Kenya.
Kenya imeshuhudia mgomo wa madaktari uliomalizika wiki jana baada ya mgomo huo kudumu kwa siku 100.
Miongoni mwa mengine, maafisa wa MAT wamesema wanahitaji ufafanuzi kuhusu ni kwa nini Serikali ya Kenya imeshindwa kuajiri Madaktari wake na kuanza kutafuta Madaktari kutoka Tanzania huku ikizingatiwa kwamba malipo ya Madaktari wa Tanzania yatakuwa makubwa zaidi ya wenyeji.
Aidha, mbona ombi hili limefanyika kipindi cha mgomo, na utekelezaji wake umekuja siku chache baada ya kuweka makubaliano ya kusitisha mgomo.
Madaktari wamaliza mgomo nchini Kenya
Tanzania kuisaidia Kenya na madaktari
"Kwa nini suala hili linafanyika wakati wa kuelekea katika Uchaguzi Mkuu 2017? Ni nani atawajibika katika suala la usalama wa raia wetu, ikizingatiwa kwamba tayari kuna viashiria vya chuki, na ikizingatia Kenya bado ina changamoto za kiusalama," taarifa kutoka kwa chama hicho ilisema.
Chama hicho pia kinataka kujua ni kwa jinsi gani Madaktari wataweza kufanya kazi bila kukamilisha taratibu za kisheria kama vile kufanya mitihani ya Bodi na kusajiliwa ilikupata uhalali wa kutibu.
"MAT inasisitiza kwamba ni muhimu kusitisha zoezi la kuwapeleka Madaktari wa Tanzania mpaka hapo Serikali ya Kenya itakapoanza utekelezaji wa makubaliano kati yake na Madaktari wao," chama hicho kimesema.
"Serikali ya Tanzania itafute namna ya kuwaajiri madaktari wake ili kuziba pengo kubwa la upungufu wa madaktari nchini (Tanzania)."
Serikali ya Kenya imetetea hatua yake ya kutoa nafasi za ajira kwa madakatari kutoka nji za nje kuboresha sekta ya afya. Hii ni baada ya muungano wa madaktari KMPDU, kuishtumu serikali kwa kufanya uamuzi huo na kuwapuuza matatabibu wake wasio na ajira.
Waziri wa afya Cleopha Mailu aliyezungumza baada ya kuzuru hospitali kuu ya taifa ya Kenyatta mjini Nairobi Jumatatu, alipinga madai hayo na kusema kuwa matabibu wa Kenya huajiriwa wanapomaliza masomo na kuwa madakatari wasioajiriwa ni kwa hiari yao.
"Si ukweli kuwa tumewapuuza madaktari wetu wasio na ajira. Madaktari wa Kenya wakitoka shule, wanaajiriwa, yule ambaye yuko barabarani na hana ajira, ni jukumu lake, au ni hiari yake yeye mwenyewe. Au alitoka kwa serikali akaenda hospitali za kibinafsi".
Aidha, Waziri huyo, amewahakikishia madaktari kutoka nchini jirani kama vile Tanzania, kuwa hawatahitajika kupitia taratibu kama vile kutahiniwa. Hii ni baada ya uvumi kuenea kuwa madaktari hao wangelazimika kufanya mtihani kama inavyohitajika.
"Daktari wa Tanzania, Uganda, Rwanda na Burundi wanaweza kufanya kazi mahali popote bila kufanya mtihani na bila kudhulumiwa; kwa sababu shule zote zinakaguliwa pamoja, na wana mtala sawa," alisema.
Kenya imeahidi kuwa itaendelea kuwasaka madaktari zaidi kutoka mataifa ya afrika na mataifa mengine ili kufanuikisha huduma bora. Sekta ya afya nchini humo iliathirika zaidi baada ya madaktari kugoma kwa siku mia moja na kulemaza utoaji wa huduma za afya nchini humo.
Hata hivyo, shughuli za kawaida zimerejea katika hospiali hizo.b
 
Maswala ya mtu kwenda au kutokwenda ni la mtu binafsi. Mgomo wa madaktari kenya una mkono wa kisiasa ili wakenya waichukie serikali kwa kukosa matibabu mwasisi wa mgomo kenya ni katibu mkuu wa Chadema Dr mashinji ambaye ndie alikuwa mwasisi wa mgomo wa madaktari Tanzania uliosababisha vifo vya watanzania kibao ili watu waichukie serikali waipigie chadema. Huyu mashinji ndio architect wa kushauri madaktari kenya wagome ili wamwangushe kenyatta uchaguzi unaokuja . Chadema ni chama rafiki wa vyama vya upinzani kenya. Mateso wanayopata wagonjwa kenya yamesababishwa na Chadema. Chadema inahusika na kuingilia uchaguzi kenya kupitia Dr. Mashinji ambaye alipewa ukatibu mkuu wa chadema baada ya kupewa cheo hicho kama zawadi ya kusimamia mauaji ya kimbari ya wagonjwa mahospitalini yaliyosababishwa na mgomo wa madaktari aliousimamia
Kati ya wajinga na wewe umo, eti mgomo wa madakitari Kenya umeasisiwa na Chadema, my left foot.
 
Maswala ya mtu kwenda au kutokwenda ni la mtu binafsi. Mgomo wa madaktari kenya una mkono wa kisiasa ili wakenya waichukie serikali kwa kukosa matibabu mwasisi wa mgomo kenya ni katibu mkuu wa Chadema Dr mashinji ambaye ndie alikuwa mwasisi wa mgomo wa madaktari Tanzania uliosababisha vifo vya watanzania kibao ili watu waichukie serikali waipigie chadema. Huyu mashinji ndio architect wa kushauri madaktari kenya wagome ili wamwangushe kenyatta uchaguzi unaokuja . Chadema ni chama rafiki wa vyama vya upinzani kenya. Mateso wanayopata wagonjwa kenya yamesababishwa na Chadema. Chadema inahusika na kuingilia uchaguzi kenya kupitia Dr. Mashinji ambaye alipewa ukatibu mkuu wa chadema baada ya kupewa cheo hicho kama zawadi ya kusimamia mauaji ya kimbari ya wagonjwa mahospitalini yaliyosababishwa na mgomo wa madaktari aliousimamia
Mkuu kwa kulinda maadili ya jamii forums sitakupa reply mbaya, ila wewe ni kati ya watu mizigo kwenye family level na taifa kwa ujumla
 
Back
Top Bottom