Chama Cha Kijamii (CCK) chajiondoa kushiriki Uchaguzi Serikali za Mitaa

impongo

JF-Expert Member
Feb 18, 2015
8,732
7,611
Ndugu viongozi na wanachama wa Chama Cha Kijamii - (CCK) pamoja na watanzania wote kwa ujumla, naomba kuchukua fursa hii kuwataarifu kwamba Chama chetu kimejitoa rasmi katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mtaa kutokana na ukandamizwaji wa haki za kisiasa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…