Ndio nakijua leo.
Kishawahi kupata mwenyekiti wa kijiji?
Chama Cha twitterNdugu viongozi na wanachama wa Chama Cha Kijamii - (CCK) pamoja na watanzania wote kwa ujumla, naomba kuchukua fursa hii kuwataarifu kwamba Chama chetu kimejitoa rasmi katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mtaa kutokana na ukandamizwaji wa haki za kisiasa
Tupo mkuu.Vyama vingine sijui wafuasi wake wapo wapi,,,
hakina hata wanachamaNdio nakijua leo.
Kishawahi kupata mwenyekiti wa kijiji?
Nimeuliza tu
Msajili ndio anakumbukumbu zote
Siasa za majukwaani zimepigwa kufuli....utajuwaje!
Chama cha Nape hiki . Ulikuwa wapi?Ndio nakijua leo.
Kishawahi kupata mwenyekiti wa kijiji?
Hahahaha!!!!!!Vyama vingine sijui wafuasi wake wapo wapi,,,
Hata chama cha waganga wa kienyeji kitatoa tamko soonNdugu viongozi na wanachama wa Chama Cha Kijamii - (CCK) pamoja na watanzania wote kwa ujumla, naomba kuchukua fursa hii kuwataarifu kwamba Chama chetu kimejitoa rasmi katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mtaa kutokana na ukandamizwaji wa haki za kisiasa
Hata chama cha waganga wa kienyeji kitatoa tamko soonNdugu viongozi na wanachama wa Chama Cha Kijamii - (CCK) pamoja na watanzania wote kwa ujumla, naomba kuchukua fursa hii kuwataarifu kwamba Chama chetu kimejitoa rasmi katika mchakato wa uchaguzi wa serikali za mtaa kutokana na ukandamizwaji wa haki za kisiasa