TETESI: Pablo afungua kesi CAS kumshtaki chama na simba kwa ngumi alizopigwa na clatous chama half time kwenye mechi dhidi ya mabingwa watarajiwa wa CAF mwaka huu yaani yanga
Pablo alitaka simba ichukue hatua lakini simba waksingizia chama anaumwa kumbe anadai milioni 300 alizojikomboa nazo Berkane na hajalipwa
Kama haitoshi chama alienda ofisini kwa Mo Dewji akampiga mangumi secretay wa Boss la mchongo Mo dewji baada ya kunyimwa kumuona ili kulipwa pesa zake