Chalinze: Ridhiwani achafuka

Chalinze: Ridhiwani achafuka

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Kila linapoulizwa swali na mwananchi yeyote anayehitaji ufafanuzi wowote kutoka kwake,Ridhiwani amekuwa akikwepa maswali hayo kwa kusemakuwa masuala hayo yatashughulikiwa na watendaji wahusika. Kama mgombea wa Ubunge,hapaswi kusema hivyo.Timu ya Kampeni ya CCM lazima ijipange na kumrekebisha. Anachafuka na kuanza kuepukwa.

Pia,kauli na matendo yake ya hivi karibuni yamemfanya achorwe kama 'mwenye kujiona na mwenye dharau kubwa' kwa wapigakura wake. Kule Lugoba,alikataa kuhutubu kwakuwa kulikuwa na jua alipopaswa kusimama. Akasusia hadi pale alipowekewa kivuli. Na akatamka kuwa yeye ni 'Mgombea Special' kupata kutokea Chalinze. Hii ni dharau kwa Wabunge waliotangulia akiwemo Mkuu wa Nchi. Wananchi wa Chalinze sasa hawampendi kama mwanzo

Ridhiwani pia anasemwa kama Mgombea ambaye hutamba hadharani na pembeni kuwa tayari ameshashinda na hakuna wa kumpoka ushindi wake kwa vyovyote vile. Wananchi wanahoji,uhakika huo anaupata wapi wakati hata kura bado hazijapigwa? Tambo zilimponza Tamba!

Ingawa CCM ina nafasi kubwa ya kushinda hapa Chalinze,matendo na maneno ya Ridhiwani yaweza kupeperusha ushindi huo kwani wananchi ndiyo waamuzi kupitia sanduku la kura.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Chalinze)
 
Ingawa CCM ina nafasi kubwa ya kushinda hapa Chalinze, matendo na maneno ya Ridhiwani yaweza kupeperusha ushindi huo kwani wananchi ndiyo waamuzi kupitia sanduku la kura.

Aaaaawapi!!

Umeandika kama uko cloud 9.

Atashinda tena kwa kura za kishindo hata kama "amechafuka".

Wako "wachafu" wengi tuu nchi hii wanakula nchi kwa raha zao ndiyo sembuse yeye?
 
kila linapoulizwa swali na mwananchi yeyote anayehitaji ufafanuzi wowote kutoka kwake,ridhiwani amekuwa akikwepa maswali hayo kwa kusemakuwa masuala hayo yatashughulikiwa na watendaji wahusika. Kama mgombea wa ubunge,hapaswi kusema hivyo.timu ya kampeni ya ccm lazima ijipange na kumrekebisha. Anachafuka na kuanza kuepukwa.

Pia,kauli na matendo yake ya hivi karibuni yamemfanya achorwe kama 'mwenye kujiona na mwenye dharau kubwa' kwa wapigakura wake. Kule lugoba,alikataa kuhutubu kwakuwa kulikuwa na jua alipopaswa kusimama. Akasusia hadi pale alipowekewa kivuli. Na akatamka kuwa yeye ni 'mgombea special' kupata kutokea chalinze. Hii ni dharau kwa wabunge waliotangulia akiwemo mkuu wa nchi. Wananchi wa chalinze sasa hawampendi kama mwanzo

ridhiwani pia anasemwa kama mgombea ambaye hutamba hadharani na pembeni kuwa tayari ameshashinda na hakuna wa kumpoka ushindi wake kwa vyovyote vile. Wananchi wanahoji,uhakika huo anaupata wapi wakati hata kura bado hazijapigwa? Tambo zilimponza tamba!

Ingawa ccm ina nafasi kubwa ya kushinda hapa chalinze,matendo na maneno ya ridhiwani yaweza kupeperusha ushindi huo kwani wananchi ndiyo waamuzi kupitia sanduku la kura.

mzee tupatupa wa lumumba (sasa chalinze)

siku hizi unakuwa kichaa sasa.pole sana.
 
Mama wa rafiki yangu ni MJUMBE wa NYUMBA kumi mbagala. Juzi jumapili alituaga kwamba hataweza kuhudhuria kikao cha harusi cha mjukuu wake kwakuwa tarehe ya kikao 6/april/2014 inafungana na tarehe ya uchaguzi Chalize yeye yupo kamati ya ushindi wanaenda kufanikisha ushindi wa mtoto wa Rais. Akasisitiza mtoto wa Rais ameahinda kabla ya uchaguzi kwakuwa tayari wanakura za kutosha mfukoni kilichobaki ni kutumbukiza tu kwenye voting box. Sasa nikajiuliza kimoyomoyo kulikoni hapa, uchaguzi upo chalinze lakini umoja wakina mama dar tayari wanakura mfukoni?
 
Mama wa rafiki yangu ni MJUMBE wa NYUMBA kumi mbagala. Juzi jumapili alituaga kwamba hataweza kuhudhuria kikao cha harusi cha mjukuu wake kwakuwa tarehe ya kikao 6/april/2014 inafungana na tarehe ya uchaguzi Chalize yeye yupo kamati ya ushindi wanaenda kufanikisha ushindi wa mtoto wa Rais. Akasisitiza mtoto wa Rais ameahinda kabla ya uchaguzi kwakuwa tayari wanakura za kutosha mfukoni kilichobaki ni kutumbukiza tu kwenye voting box. Sasa nikajiuliza kimoyomoyo kulikoni hapa, uchaguzi upo chalinze lakini umoja wakina mama dar tayari wanakura mfukoni?

Namtumba acha kuleta hisia za uongo. Je kundi kubwa la Chadema lilipokwenda katika kampeni na siku ya uchaguzi Kalenga Iringa lilikuwa na kura mifukoni? Huyo mama kama ni mjumbe wa CCM anawajibu wa kushirikiana na wanaCCM wenzake kufanya kampeni kuhakikisha Ridhiwani anashinda na sio kuiba kura.
 
Ridhiwani ana misifa sana,
Ni bilionea wa Tanzania, tunataka atutajie mali zake sasa
 
Kila linapoulizwa swali na mwananchi yeyote anayehitaji ufafanuzi wowote kutoka kwake,Ridhiwani amekuwa akikwepa maswali hayo kwa kusemakuwa masuala hayo yatashughulikiwa na watendaji wahusika. Kama mgombea wa Ubunge,hapaswi kusema hivyo.Timu ya Kampeni ya CCM lazima ijipange na kumrekebisha. Anachafuka na kuanza kuepukwa.

Pia,kauli na matendo yake ya hivi karibuni yamemfanya achorwe kama 'mwenye kujiona na mwenye dharau kubwa' kwa wapigakura wake. Kule Lugoba,alikataa kuhutubu kwakuwa kulikuwa na jua alipopaswa kusimama. Akasusia hadi pale alipowekewa kivuli. Na akatamka kuwa yeye ni 'Mgombea Special' kupata kutokea Chalinze. Hii ni dharau kwa Wabunge waliotangulia akiwemo Mkuu wa Nchi. Wananchi wa Chalinze sasa hawampendi kama mwanzo

Ridhiwani pia anasemwa kama Mgombea ambaye hutamba hadharani na pembeni kuwa tayari ameshashinda na hakuna wa kumpoka ushindi wake kwa vyovyote vile. Wananchi wanahoji,uhakika huo anaupata wapi wakati hata kura bado hazijapigwa? Tambo zilimponza Tamba!

Ingawa CCM ina nafasi kubwa ya kushinda hapa Chalinze,matendo na maneno ya Ridhiwani yaweza kupeperusha ushindi huo kwani wananchi ndiyo waamuzi kupitia sanduku la kura.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Chalinze)

Naanza kupatwa na mashaka muda si mrefu unaokota makopo. Nafikiri uliwahi kupost kitu kuhusu Kalenga kwamba CCM hali ni mbaya kwa hali hiyo dhahiri nahisi kabisa kwamba upo ktk hatari ya kupatwa na malaria kali nakushauri nenda kituo cha Afya huko Chalinze vipimo vya malaria vipo vya kumwaga. Tunaweza kuwa tunachangia tukiamini post hii ni ya mtu ambaye yupo sawa kumbe mwenzetu unaugua.
 
Namtumba acha kuleta hisia za uongo. Je kundi kubwa la Chadema lilipokwenda katika kampeni na siku ya uchaguzi Kalenga Iringa lilikuwa na kura mifukoni? Huyo mama kama ni mjumbe wa CCM anawajibu wa kushirikiana na wanaCCM wenzake kufanya kampeni kuhakikisha Ridhiwani anashinda na sio kuiba kura.

Ninachofahamu mimi siku ya uchaguzi hakuna kampeni but anyway tusubiri matokeo yeyote anweza kuwa mshindi huwezi jua.
 
Propaganda chafu hiyo vuta-nikuvute. So long unajulikana upande wako ni upi hiyo haiumi asilani. Ukweli ni kwamba cdm washashindwa in advance!
 
hawa achana nao wana miiba mirefu ndugu,wanategemea sana Magamba yao,lakini kila kitu kin mwisho wake.
 
Kila linapoulizwa swali na mwananchi yeyote anayehitaji ufafanuzi wowote kutoka kwake,Ridhiwani amekuwa akikwepa maswali hayo kwa kusemakuwa masuala hayo yatashughulikiwa na watendaji wahusika. Kama mgombea wa Ubunge,hapaswi kusema hivyo.Timu ya Kampeni ya CCM lazima ijipange na kumrekebisha. Anachafuka na kuanza kuepukwa.

Pia,kauli na matendo yake ya hivi karibuni yamemfanya achorwe kama 'mwenye kujiona na mwenye dharau kubwa' kwa wapigakura wake. Kule Lugoba,alikataa kuhutubu kwakuwa kulikuwa na jua alipopaswa kusimama. Akasusia hadi pale alipowekewa kivuli. Na akatamka kuwa yeye ni 'Mgombea Special' kupata kutokea Chalinze. Hii ni dharau kwa Wabunge waliotangulia akiwemo Mkuu wa Nchi. Wananchi wa Chalinze sasa hawampendi kama mwanzo

Ridhiwani pia anasemwa kama Mgombea ambaye hutamba hadharani na pembeni kuwa tayari ameshashinda na hakuna wa kumpoka ushindi wake kwa vyovyote vile. Wananchi wanahoji,uhakika huo anaupata wapi wakati hata kura bado hazijapigwa? Tambo zilimponza Tamba!

Ingawa CCM ina nafasi kubwa ya kushinda hapa Chalinze,matendo na maneno ya Ridhiwani yaweza kupeperusha ushindi huo kwani wananchi ndiyo waamuzi kupitia sanduku la kura.

Mzee Tupatupa wa Lumumba (sasa Chalinze)

Utayaona mengi ya ridhiwan mwaka huu, subiri dakika za mwisho utamsikia. sijai kuona DNA zilizopotea kama zilizotumika kwa huyu jamaa.
 
View attachment 147203
Hawa watu utawambia nini sasa,acha akili za kibavicha wewe.

Huwezi waambia chochote, kofia, t-shirt, bendi zinatumbuiza; maisha ndo hayo TZ tunataka; wakitoka hapo wagonjwa wataenda hospitali na kulazwa watatu kitanda kimoja wakajampiane. Hawajui nguvu ya kura zao!!
 
Binafsi nakubali kabisa kuwa CCM itashinda Chalinze, lakini kuna vitu ambavyo hata ukiwa shabiki wa CCM hutakiwi kuvishabikia kwa mfano hilo suala la mgombea kukataa kuhutubia eti kwa sababu kuna jua, je hao anaowahutubia aliwafikiria kuwapatia turubai baada ya yeye kupatiwa hifadhi ya kivuli, tuache ushabiki usio na maana penye upungufu tuseme viongozi wetu wajirekebishe, eti ananawa mikono baada ya kusalimiana na wapiga kura wake, ni sawa lkn si akanawie mbele ya safari kuliko kuonyesha hiyo aina ya dharau.
Kijana Riz One amekuwa akisemwa si vyema na wananchi walio wengi, CCM na CDM, CUF na wasio na vyama, kijana ana majivuno na dharau, kijana amefanya urais wa baba yake kama silaha ya kupata kila atakacho na hakika anapata ila tukumbuke kuwa 2015 ipo usoni,CCM wawe madarakani wakati huo au CDM huyu kijana hali yake itakuwa tofauti, tunakaa vijiweni, kwenye mabar, kwenye kumbi za starehe na mara nyingi stori za huyu kijana lazima zisikike na si kwa wema bali kila mtu ni kama aanamfikiria kwa lake.
 
Fimbo ya watu wenye midomo ya dharau kama riz na mwigulu ni box na kura tu na wana chalinze najuwa hawatofanya makosa kabisa!
 
Back
Top Bottom