Smart Luke
Member
- Oct 7, 2014
- 12
- 0
Naomba kuuliza kama inawezekana kufuta chale zinazotokana na kuchanjwa na waganga wa kienyeji na kama jibu ni ndiyo ni njia gani inaweza saidia'
Smart Luke kwanza weka picha tuone chale zenyewe zilivyo halafu ndio tukushauri namna gani utaweza kuzifuta, lakini pia wasiliana na mganga aliyekuchanja hizo chale anaweza kuwa anajua namna ya kuzitoa pia.
Nenda kwa mganga aliyekuchanja akuchanje tena alaf amwagie maji ya betri alpochanja zitatoka zoote