Unakula kulingana na kazi unayofanya sasa mtu kama mwanaume wa Dar akiamka anaenda bafuni kuoga anaingia chumbani anakaa kwenye dressing table kujipodoa akitoka hapo anaenda saloon ya kike kutengeneza nywele anashindana na dada zake unategemea atakula chakula gani ni embe na pilipili chips na maji ya 50
Wenye nyumba wa Dar,wakiona mpangaji anakula hivo basi anajua hata choo chake akitachukua muda kujaa,kwahiyo mwenye nyumba akikufuma unakula hivo,basi jiandae kuhama.
Wenye nyumba wa Dar,wakiona mpangaji anakula hivo basi anajua hata choo chake akitachukua muda kujaa,kwahiyo mwenye nyumba akikufuma unakula hivo,basi jiandae kuhama.
Unakula kulingana na kazi unayofanya sasa mtu kama mwanaume wa Dar akiamka anaenda bafuni kuoga anaingia chumbani anakaa kwenye dressing table kujipodoa akitoka hapo anaenda saloon ya kike kutengeneza nywele anashindana na dada zake unategemea atakula chakula gani ni embe na pilipili chips na maji ya 50
acha uongo mkuu..lini food shortage ikasababishwa na kiwango cha kushiba??
kumbuka ATP consumption mwilini inategemea na nature ya kazi pamoja na umri...suluhisho ni kula ushibe ili ukafanye kazi kumbe ndo nyie tukija dar mnatukodolea wakati wa chakula!!?? acha hiyo tabia aisee