Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,015
- 828,775
- Thread starter
- #21
kuwa na mitazamo tofauti juu ya jambo moja sio tatizo, inategemea na wewe jinsi unavyo litazima kutokea hapo ulipo.
ila tatizo linakuja pale unapo lazimisha watu wote walielewe jambo hilo kwa mtizamo wako wewe.
inawezekana kabisa pande zote mbili zenye mitazamo tofauti wakawa sahihi ila inategemea msingi na makusudio ya jambo lenyewe.
msingi na makusudio ya jambo husika ndio mtizamo sahihi.
mimi niliye andika "W" niko sahihi kwakuwa ndiye niliye andika na nilimaanisha kuandika "w" na sio "M" wala 3 wala E, hivyo mitazamo mengine sio.
Sent using Jamii Forums mobile app



