Chakula Cha Dagaa na ugali

Chakula Cha Dagaa na ugali

Shimoni kariakoo mwaka gani huo?
Soko la zamani limekarabatiwa na pale shimoni pamefumuliwa na kuwekwa mjengo mpya

Kiukweli sijaenda hivi karibuni lakini naamini ukifika ukaukizia watakwambia ni wapi uende uta uparta.
Yaani wale wauzaji wa Shimani watakuwa kuna mahala wanapatikana matharani maeneo ya karume n.k
 
Kiukweli sijaenda hivi karibuni lakini nzi ukifika ukaukizia watakwambia ni wapi uende uta uparta.
Yaani wale wauzaji wa Shimani watakuwa kuna mahala wanapatikana matharani maeneo ya karume n.k
Ndio walihamishiwa Machinga complex pale kupisha ujenzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom