Sawa mkuu nimekupataUnakaanga dagaa mpaka wanakauka vizuri dagaa na vitunguu vyote vinakuwa vya brown!
Lakini ukiivisha vitunguu kwanza ukija kuweka dagaa uanze kuwakaanga vitunguu vinaungua kabla dagaa hawajakauka
Shimoni kariakoo mwaka gani huo?
Soko la zamani limekarabatiwa na pale shimoni pamefumuliwa na kuwekwa mjengo mpya
Ndio walihamishiwa Machinga complex pale kupisha ujenziKiukweli sijaenda hivi karibuni lakini nzi ukifika ukaukizia watakwambia ni wapi uende uta uparta.
Yaani wale wauzaji wa Shimani watakuwa kuna mahala wanapatikana matharani maeneo ya karume n.k