FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Sijaandika kuwa Mzungu ni balaa kwa kutengeneza hiyo rechargeable battery.
Mkuu "Proffesa" :lol: Issa yeye amenishangaza kufahamu leo kuwa Wazungu ni "balaa" na wakati sote hapa tunafahamu Wazungu ni "balaa" kwa miaka mingi.
Na ulipoanza kushutumu jina lake la mwisho ulikuwa na maana gani? wacha wewe, sema nimekushika patamu tu. Ulishaanza kutia Sumu.
Hiki hapa ulichokiandika, usitake kuyakana maandiko yako baada ya kukuonesha ujinga wako:
Punguani wahed.