Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Dunia simama nishuke mieeeDuhh.....![]()
![]()
Mdomo wangu umebaki wazi...![]()
![]()
Dunia simama nishuke mieeeDuhh.....![]()
![]()
Mdomo wangu umebaki wazi...![]()
![]()
Nilimwambia atakufa akafa kweliDunia simama nishuke mieee

Mwenzanguu niliuona janaa na miee... Sijui leo nimefikaje hapa teena....

Tutakutana kanisani, mindonaingia kwa ibada ya 3Mwenzanguu niliuona janaa na miee... Sijui leo nimefikaje hapa teena....
Hebu tuondoke bhanaa![]()
![]()
![]()
Tunapishana sasa... Mie baada ya ule uzi usiku niliamkia misa ya kwanzaTutakutana kanisani, mindonaingia kwa ibada ya 3
Anafanya kila liwezekano kujaribu kutufanya kufuata njia Yake.
Hiki cha mr yooooooo
Anachokalia Mombasa
Sasaaaa..ukikaa hapo si unakua tu kama UMEPAKATWA NA HILO SKELETON!??
I DONT NEED POWERS,peleka mombasa labda!
Mshana jr:kuja kufahamu Akili yako labda nizaliwe kwa mara nyingine.
Kachukue machinjioni.Ingekuwa mkojo, ningeutoa fast, ila hiyo mmmmmhhh!!
Mshana jr:kuja kufahamu Akili yako labda nizaliwe kwa mara nyingine.
Unakumbuka uziwa wako uliotoa hapa usiku wa maiti? Nitachelewa sana kukufahamu kiukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
naamini kuna nyingine nyingi hujaziona
Diamond kashatumia sana mambo kama haya na zama zake zinaanza kutoweka kama alisanda firauni baba wa wictchcraft sembuse huyu mtoto wa tandale always power inatoka kwa MUUMBA acha kupotosha watu we mzee wa castle milk
Diamond kashatumia sana mambo kama haya na zama zake zinaanza kutoweka kama alisanda firauni baba wa wictchcraft sembuse huyu mtoto wa tandale always power inatoka kwa MUUMBA acha kupotosha watu we mzee wa castle milk