joshydama
JF-Expert Member
- May 10, 2016
- 4,623
- 5,037
Mkubwa joshydama kweli hili hata tukisema tulaumiane haitasaidia sana. Ni kuwashawishi wenzetu kukubaliana na ukweli kuwa tunapoteza pesa kwenye mambo ambayo hayana tija.
Pesa za uchaguzi zikijenga shule moja ya kisasa ni bora sana. Tunaweza kulaumu Katiba, lakini siamini kama ikibadilika itabadilisha jambo hili.
Mkuu, hakika nakwambia watanzania tungekuwa tunajitambua we could raise red flag na seriakli ingeshituka kwa kiasi Fulani kuhusiana na suala linaloendelea. kwa sababu ya uoga ambao unasababishwa na ujinga na upumbavu ndiyo maana unaona kodi zetu zinatumika vibaya and we can't even hoji kuhusu hayo matumizi mabaya ya fedha.
Kodi za wananchi kutumika vibaya sisi ndiyo chanzo maana ndivyo tunavyowalea viongozi wetu na ndiyo maana viongozi hawana uoga hata kidogo kuhusu matumizi mabaya ya fedha katika mambo ambayo hayana tija kwa wananchi na kuyaweka pembeni mambo ambayo ni ya msingi.