Chaguo Sahihi?

Husneee....niajeeeee......Heri ya mwaka mpyaaaaa.......

poa preta!!! naona umetupia mambo za tanga pale kati. usisahau kuja kuchukua weaving utokeleze. michyuuuuu mno.
 
Kwani ulimuoa ili kumfurahisha nani?na kama ulimpenda kwa ridhaa yako mwenyewe mbaka ukafikia hatua ya kumuoa, kwa nini sasa unamchukia?
 
Hakuna kuacha....Jifunze kumpenda
 
hahahhahhahahhahahah have a coke tu bana!
au mtu aniambie maana ya uasherati!ila kama ni huu huu naoujua mie basi ndoa nyingi sana sio halali yailahi! kwa haya mambo nayoyaona mie mpka umri huu!lolz

ndo maana kuna kusameheana hii ni pale tu unaposhindwa kusamehe hata kanisa lintakua radhi ivunjwe hiyo ndoa
 
Hamna ndoa siku hizi.....!!!!

Ila mwanaume na mwanamke wanaoishi pamoja....
 


hata sijui nisemeje ila ndoa za kikristu hapo ndo ntolee,,
 
Mwambie siku hizi haumpendi kama zamani, umsikilizie atasemaje, pengine naye pia hakupendi like before.
jamani asa ndoa si uvumilivu mhh yani wanaume jamani hapo ukute kipata demu mwingine
 
Asante kwa ushauri nitajitahidi japo najifeel tofauti sana
 
Hiyo ni hali ya kawaida kwa sisi binadamu, haiwezekani kumpenda mkeo/mmeo kama ulivyokuwa ukimpenda mwanzo (miaka 10-15 iliyopita) hapo mnaishi kwa kuzoeana tu na si kwa hisia za kimapenzi, kwa kifupi mnakuwa na upendo wa nusu ndugu nusu wapenzi, hata mmoja akifa atakaebaki atajisikia uchungu wa kindugu au kimapenzi inategemea mlikuwa na muda gani katika ndoa.
 
ndo maana kuna kusameheana hii ni pale tu unaposhindwa kusamehe hata kanisa lintakua radhi ivunjwe hiyo ndoa

kuna kanisa linavunja ndoa kwa ajili ya kushindwa kusamehe? Suprise umeolewa?(nahisi we ni mdada samahani kama nimekosea)
una miaka mingapi kwenye ndoa yako?marafiki na ndugu na staff wwenzio wanaizungumziaje ndoa?
 
Last edited by a moderator:
kuna kanisa linavunja ndoa kwa ajili ya kushindwa kusamehe? Suprise umeolewa?(nahisi we ni mdada samahani kama nimekosea)
una miaka mingapi kwenye ndoa yako?marafiki na ndugu na staff wwenzio wanaizungumziaje ndoa?

hahaha kumbe me mdada eenh, snowhite mwaya hata mlango wa ndoa cujui mie
 
hahaha kumbe me mdada eenh, snowhite mwaya hata mlango wa ndoa cujui mie

kuna kanisa linavunja ndoa kwa ajili ya kushindwa kusamehe? Suprise umeolewa?

hakuna kanisa linalovunja ndoa kwa ajili ya kushindwa kusameheana bt kuhusu uasherati kama mmoja wenu kashindwa kusamehe hapo hata kanisa linaruhusu ivunjwe
 
mi huwa napenda kutoa ushauri kwa kuuliza maswali kama hutajali!
-UNA MWANAMKE MWINGINE NJE YA NDOA YAKO?
-MARA YA MWISHO ULIMWANGALIA LINI MKEO KWA MAKINI?
-MKEO AMEBADILIKA UMBILE BAADA YA KUJIFUNGUA?
-UNAMHISI KITU CHOCHOTE KIBAYA WIFE?
-MARA YA MWISHO MMETOKA OUT NA MAMII NI LINI?
-ULISHAWAHI KUPIGA GAME OUT FIELD?
-MKEO ANAIHUDUMIA VIPI FAMILIA ?
-UNAAMINI UNAMRIDHISHA MKEO KIMAPENZI?
-UMEPATA TATIZO LOLOTE KIUCHUMI,KIHISIA,KIAFYA?
ni mengi lakini hebu yakusaidie katika kutafakari!
then tunaweza kuendelea!
-
-
 
hahaha kumbe me mdada eenh, snowhite mwaya hata mlango wa ndoa cujui mie

that explains a lot of things!
usijali mwaya ukifika utajionea!
nikwambie tu ndoa ni zaid ya hivi wengi tunavoistafsiri!
believe me!
 
sa ndo hutaki toa kitchen part before

wala usiwe na haraka mwali wangu!
we unialike tu wiki moja kabla ya harusi ntakuja na mke mwenzangu cacico pamoja kungwi mwenzangu gfsonwin hutojutia abadan!
bure sentano kipande hatutaki !twaja siye wenyewe!!na miguu yetu!
 
wala usiwe na haraka mwali wangu!
we unialike tu wiki moja kabla ya harusi ntakuja na mke mwenzangu cacico pamoja kungwi mwenzangu gfsonwin hutojutia abadan!
bure sentano kipande hatutaki !twaja siye wenyewe!!na miguu yetu!

hahaha, noted, athante kwa promised huduma
 
Hizi kesi za ndoa, ni balaa!
Ndoa ya kikristo haivunjiki kwa mwenzi mmoja kukosa hisia kwa mwenzake labda kaw dhambi ya uasherati.
Muombe Mungu tu akusaidie manake duh!
Sasa na wewe ilikuwaje ukamuona mwanamke humpendi jamani tena ukaingia kichwa kichwa hadi mbele ya mchungaji, ona sasa. Ngaja FP, The Boss, Mzizi mkavu waje nadani wanaweza kukusaidia angalau kurudisharudisha hizo hisia
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…