fered mbataa
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 240
- 35
diwani wa chadema aliyevuliwa uawanachama adam chagulani aliipigia kura cdm ila cuf ndo wameshindwa kuvunja ndoa yao. Cuf waliwafuata cdm nje ya ukumbi na kuwashawishi warudi wapige kura kwani wao watawaunga cdm ili washinde lakini cuf hawakufanya hivyo ndo ushindi wa ccm ulivyokuwa. Then ccm imefanya uchaguzi wa ilemela ushindwe kufanyika ili kamati maalum nchini ya ccm iyongoze halmashauri ya ilemela.
Source wenje mwenyewe redioni kwa neema fm
Source wenje mwenyewe redioni kwa neema fm