Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,222
- 50,170
Wapi nimesema kuna shidaKwani shida ipo wapi hapo.... unataka watu wasimake fun?
Acha watu tujiliwaze![]()
Wapi nimesema kuna shidaKwani shida ipo wapi hapo.... unataka watu wasimake fun?
Acha watu tujiliwaze![]()
Haha ila game lile ni balaa kuna wakati nasema ingekuwa kweli na mimi ningeenda I could surviveKuna watu wanapenda tu kuchezea hela....zinawawasha
Au hujaangalia Squid Game![]()

Basi sikukuelewa maana namna ulivyocomment nikahisi kuna shidaWapi nimesema kuna shida
Mimi naona kabisa nisingesurviveHaha ila game lile ni balaa kuna wakati nasema ingekuwa kweli na mimi ningeenda I could survive![]()


Hakuna shida bossBasi sikukuelewa maana namna ulivyocomment nikahisi kuna shida
Ningekuwa kama yule mzeeMimi naona kabisa nisingesurvive
Ningekufa mapema tu kwenye ile part ya Green Light na Red Light![]()