Z zayat JF-Expert Member Dec 29, 2010 337 42 Jan 26, 2011 #1 :bathbaby:Umejitayarisha kwenda kuoga umevaa taulo MAMAMKWE na MKEO wamekaa katoto chako kadogo kana miezi kama 8/9 kanacheza una kachukua na kukirusha ghafla taulo lina dondoka mtoto yupo hewani UNADAKA NI MTOTO AU TAULO? NA MAMAMKWE YUPO MBELE
:bathbaby:Umejitayarisha kwenda kuoga umevaa taulo MAMAMKWE na MKEO wamekaa katoto chako kadogo kana miezi kama 8/9 kanacheza una kachukua na kukirusha ghafla taulo lina dondoka mtoto yupo hewani UNADAKA NI MTOTO AU TAULO? NA MAMAMKWE YUPO MBELE
Pearl JF-Expert Member Nov 25, 2009 3,036 309 Jan 26, 2011 #2 uchungu wa mwana?kwani mama mkwe hajawahi kuona ?:shut-mouth:
Kituko JF-Expert Member Jan 12, 2009 9,555 9,330 Jan 26, 2011 #3 Choo cha nje unaendje kuoga na taulo tu bila kuvaa kitu ndani? obvious adamdaka mtoto na mama mkwe ataangalia pembeni tu,
Choo cha nje unaendje kuoga na taulo tu bila kuvaa kitu ndani? obvious adamdaka mtoto na mama mkwe ataangalia pembeni tu,
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,894 155,916 Jan 26, 2011 #4 Mi ntaokota taulo, kwa kuwa ni mtaalam wa danadana katoto ntakapoga kwa mguu katarudi juu, kisha baada ya kujifunga ndio ntakadaka. Kiuhalisia huwezi kuanza michezo na mtoto wakati uko nusu uchi mbele ya mama mkwe
Mi ntaokota taulo, kwa kuwa ni mtaalam wa danadana katoto ntakapoga kwa mguu katarudi juu, kisha baada ya kujifunga ndio ntakadaka. Kiuhalisia huwezi kuanza michezo na mtoto wakati uko nusu uchi mbele ya mama mkwe
Nanren JF-Expert Member May 11, 2009 2,444 2,153 Jan 26, 2011 #5 Huyo mama mkwe unayemvalia taulo.......? mbona hata akiona hamna noma? Unadaka mtoto kwanza.
Da Dinnah JF-Expert Member Jan 24, 2011 504 181 Jan 26, 2011 #6 mtoto bwana, kwani watu wakiona uko uchi unakufa?,