Maumivu ya kichwa uanza pole poleeeeeeeeeeeeeeUchumi ungekuwa unapangwa kwa kupanga picha, basi ukumbi huu ungekuwa unashindana na Oxford na Cambridge kwenye mambo ya uchumi.
DU Mi nina calculator ya Mjerumani lakini Hola, ngoja nijaribu ya Zimbabwe maana ndo Hesabu zake:lol:TUKO HIVYO
Hatuoni
Hatusikii
Tunadanganyika kirahisi
Tunafuata mkumbo
BAADAE TUNALALAMIKA
Chagua CCM
Ofisi zetu
MAKAZI YETU
v
shule zetu
|
v
Darasani kwa watoto wetu
|
v
Huko vijijini-Dispensary
|
v
WAO WAKICHAGULIWA....
Ubalozi wa Tanzania Washington
Ofisi zetu za Bunge
|
v
|
v
Kuna cha kuongeza?
Sasa tucheze na hesabu 6,900,000/= kwa mbunge mmoja,zidisha mara miezi 12 then zidisha kwa miaka 5 = 414,000,000/= jumlisha 50,000,000/= anayopewa mara baada ya kumaliza miaka 5 = 464,000,000/= kwa mbunge mmoja.
464,000,000/= siko tayari kuzidisha fedha hii mara wabunge wote kwa miaka 5,calculator yangu itachanganyikiwa alafu niingie gharama ya kununua nyingine.
Maumivu ya kichwa uanza pole poleeeeeeeeeeeeee
Uendawazimu mbona upo vichwani mwetu siku nyingi. Ni wale waliouona mwanga tu ndio wanaweza kusema rangi ya kilicho mbele yao!!!!!!Na uwendawazimu utaanza siku hiyo matokeo kamili ya uchaguzi yatakapoanza kutangazwa!