Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,556
- 272,296
Ni miongoni mwa maofisa wa ngazi ya juu wa jeshi la polisi wanaotarajiwa kuagwa katika hafla inayotarajiwa kufanyika kwenye chuo cha Taaluma ya polisi jijini DSM , Wengine ni aliyekuwa kamishna wa polisi Zanzibar , Hamdani Omari Makame na aliyekuwa kamishna wa Tume ya kudhibiti Dawa za kulevya , Keneth Kaseke .
Msemaji wa polisi , Barnabas Mwakalukwa ametanabaisha kwamba katika utumishi wao uliotukuka wameliletea sifa jeshi la polisi , ndani na nje ya nchi .
Chanzo - Nipashe .
Kila la heri Chagonja .
Msemaji wa polisi , Barnabas Mwakalukwa ametanabaisha kwamba katika utumishi wao uliotukuka wameliletea sifa jeshi la polisi , ndani na nje ya nchi .
Chanzo - Nipashe .
Kila la heri Chagonja .