Chafya na kukohoa inazuilika tu

Chafya na kukohoa inazuilika tu

loose Nut

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2025
Posts
774
Reaction score
1,751
Kupiga chafyana kukohoa inazuilika tu.

Unakuta wanaume wazima mnashindwa kujizuia kikohozi na chafya kikikujia.

Mwanamme vitu vidogo kama hivi vinazuilika tu.

Kweli wanaume tumebaki wa chache.
 

Screenshot_2025-12-09-22-35-35-886_com.google.android.googlequicksearchbox-edit.jpg
 
Aisee
Umeingia humu na ID zako zote kuanzia na mpya alioanzishia Uzi
Mbrrrrrrrrr
 
Kupiga chafyana kukohoa inazuilika tu.

Unakuta wanaume wazima mnashindwa kujizuia kikohozi na chafya kikikujia.

Mwanamme vitu vidogo kama hivi vinazuilika tu.

Kweli wanaume tumebaki wa chache.
Nacheka sana nikiona ID zako na hizo avatar za kiduwanzi 😂 😆
 
Ndugu yangu njoo na I'd moja inaitwa ghayo de mbusii
Hahahahaha!! oya Mgerasi afungwe kamba yaani ID Tano za kiduwanzi linaJiLike na kuJiQuote.

Ninecheka sana eti Ghayo de mbusi , asichojua Mimi ni Master nina mbinu kibao za mapambano yeye anaishi kucopy kama reckless bull sasa kaingia mtegoni nimemzunguka baada ya kuingia mkenge.
 
Hahahahaha!! oya Mgerasi afungwe kamba yaani ID Tano za kiduwanzi linaJiLike na kuJiQuote.

Ninecheka sana eti Ghayo de mbusi , asichojua Mimi ni Master nina mbinu kibao za mapambano yeye anaishi kucopy kama reckless bull sasa kaingia mtegoni nimemzunguka baada ya kuingia mkenge.
Huyu jamaa saiv kapoa sana miaka ya nyuma 2016 na 2017 alikuwa mgomvi kinoma mimi nimegombana naye sana humu ndani mwisho wa siku tukawa washikaji

Ndo mwanzilishi wa majina kama semenya, mgerasi, myebusi , de mbusii , mafiii
 
Huyu jamaa saiv kapoa sana miaka ya nyuma 2016 na 2017 alikuwa mgomvi kinoma mimi nimegombana naye sana humu ndani mwisho wa siku tukawa washikaji

Ndo mwanzilishi wa majina kama semenya, mgerasi, myebusi , de mbusii , mafiii
Hata wewe Zamani ulikuwa mkorofi sana kipindi upo mgeni Jf ulikuwa una nyuzi za kiwaki sana nyingi zikiwa visa vya kuwala kimasihara walimu
 
Back
Top Bottom