KALYABUNUNU
Member
- Dec 21, 2012
- 21
- 7
M/kiti wa CHADEMA wilaya Bukoba mjini amefungua matawi 8 ktk kata KITENDAGURO ambapo kadi za CCM 1931 zimekusanywa na wanachama hao wamepewa kadi za CHADEMA. Mtaa uliokusanya kadi nyingi ni mtaa BUGAMBAKAMO ambao SAMWEL LUHANGISA aliutumia kama ngome