tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,895
- 19,771
Wapinga ufisadi na matumizi mabaya ya pesa wko busy kununua madiwani,tumeambiwa tusubiri clip muda si mrefu mtu mzima atavuliwa nguooo
Hivi wewe ni chagademaaa? Hivi Lisu analipiwa Na nani matibabu hayo?Chagadema ndiyo nini?Unadhihirisha ni namna gani ulivyomweupe ktk kujenga hoja!Nini maana ya mfumo wa vyama vingi vya siasa?Au unategemea karne ya 21 watu wakupigie makofi hata kama unapumbika?
Nyoo.arusha ipi??labda ya mpitimbi.milele cdm juuKumekucha, Arusha inarudi kundini slowly but surely!
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na madiwani na waliowahi kuwa madiwani wa CHADEMA walioamua kuhamia CCM wakati wa sherehe za kukamisheni maafisa wapya wa kijeshi katika Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha leo Septemba 23, 2017View attachment 594221View attachment 594222
Wapinga ufisadi na matumizi mabaya ya pesa wko busy kununua madiwani,tumeambiwa tusubiri clip muda si mrefu mtu mzima atavuliwa nguooo
chadema wamepotezwa arusha jimbo linarudi ccm.