CHADEMA yawanasa Lowassa, Mwigulu

Ccm haiwezi kukihujumu chama kama cdm,cdm kinajimaliza chenyewe kutokana na uozo wa viongozi wake,angalia wanavyoua watu kwa mabomu,silkiliza kauli za viongozi wake,ni za kakatisha tamaa
 

Mkuu usiumwe na ROHO!
Mapambano ndo yameanza. Ebu angalia muda walioiongonza Tanzania! Na hali waliyonayo kwa sasa ndo utajua tumefikia wapi ktk mapambano ya kuwang'oa hawa wang'oa kucha na meno bila ganzi...
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1373047360495.jpg
    55.5 KB · Views: 62
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…