CHADEMA yavuna 960 kutoka CCM Arusha

CHADEMA yavuna 960 kutoka CCM Arusha

Nimetoa ushauri kwa CHADEMA.....Kwa nini kila wanachofanya ni kanda ya kaskazini tu????? Eleza hapa huo mpango ni wa visima vingapi na vinachimbwa wapi? au unasema tu ili kutetea UCHADEMA wako???

Hakuna mpango wa visima huyo anaropoka tu si hunajua tena Chadema-Kata..mwambie aeleze vizuri.
 
hata ngombe na Punda kwa kuwa tu wapo moshi na arusha watakwmbia wanachama wao, Chadema siasa za maji taka
Kochi la Ikulu haliumizi na Linaburudisha,ukimaliza muda wako nipishe na MIMI-DK SLAA TO JK


Hiyo signature ya MS inadhihirisha uwezo wake wa kufikiri!!!
Kubishana naye ni sawa na kujaribu kumfundisha nguruwe kuandika!!!
 
Nimetoa ushauri kwa CHADEMA.....Kwa nini kila wanachofanya ni kanda ya kaskazini tu????? Eleza hapa huo mpango ni wa visima vingapi na vinachimbwa wapi? au unasema tu ili kutetea UCHADEMA wako???

Upeo wako wa kufikiri umefikia mwisho
 
Nimetoa ushauri kwa CHADEMA.....Kwa nini kila wanachofanya ni kanda ya kaskazini tu????? Eleza hapa huo mpango ni wa visima vingapi na vinachimbwa wapi? au unasema tu ili kutetea UCHADEMA wako???
Kutafuta takwimu si kazi yake mradi wa visima ni wa tanzania nzima,
Dk Slaa anena
Dk Slaa amesema chama hicho kinatarajia kuchimba visima vya maji 11 katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora ikiwa ni wiki takriban mbili tangu kumalizika kwa uchaguzi mdogo wa jimbo hilo uliofanyika Oktoba 2.

"Katika mpango kazi wetu, tumepanga kuchimba visima 11 katika Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, hii imetokana na ziara yangu katika vijiji 98 ambapo niligundua kuwa wakazi hao wanakabiliwa na tatizo kubwa la maji,"alifafanua Dk Slaa.
 
Amakweli wivu ni mbaya, sasa hapo kijijini ulitaka kuona umati wa namna gani wewe kama sio ujuha unakusumbua? Big-up CDM big-up Amani Golugwa na viongozi wenzako, tuko pamoja na nyie katika haya mapambano.

Mkuu Chadema imeingiza wanachama 960 lakini hamna makelele laiti ingekuwa ni Magamba wangetangaza habari kuu TBC wiki nzima mfululizo.Hakika CDM inawashika
 
Naomba kuuliza wakuu.Hivi CUF ina ofisi Arusha?
 
Ndio maana unaitwa ngumbaru mil. 550 zijenge km 3 za lami? lami ya kichina?

Nyie mniite vyovyote kwangu hakuna shida, leo ndio nimejua kumbe na wewe akili ukwaju aisee!

Kwa kukusaidia tu Meneja wa Wakala wa Barabara Mkoa wa Morogoro (Tanroads), Doroth Mtenga, kasema katika mradi huo wa barabara wenye umbali wa kilomita tano.

Wakala wa barabara umetenga Sh395 milioni kwa ajili ya kilomita mbili, na huku mbunge huyo katoa Sh550 milioni kutengeneza kilomita tatu.

Tuwekee wewe gharama zako za kilomita tatu.
 
Kutafuta takwimu si kazi yake mradi wa visima ni wa tanzania nzima,

JF sio sehemu ya porojo sema vizuri visima vinachimbwa na Chadema au Mustafa Sabodo yule Muhindi?
 
Naomba kuuliza wakuu.Hivi CUF ina ofisi Arusha?
Arusha mjini au Mkoa wa Arusha kwa hapa mjini kusema kweli sija wahi kuona hata bendera ya CUF kwenye nyumba yoyote hapa ni CHADEMA, CCM na kwa mbali TLP....
 
Nyie mniite vyovyote kwangu hakuna shida, leo ndio nimejua kumbe na wewe akili ukwaju aisee!

Kwa kukusaidia tu Meneja wa Wakala wa Barabara Mkoa wa Morogoro (Tanroads), Doroth Mtenga, kasema katika mradi huo wa barabara wenye umbali wa kilomita tano.

Wakala wa barabara umetenga Sh395 milioni kwa ajili ya kilomita mbili, na huku mbunge huyo katoa Sh550 milioni kutengeneza kilomita tatu.

Tuwekee wewe gharama zako za kilomita tatu.

Unaweza kutueleza source of this Income? maana hata Ulaya na America hakuna mbunge anaetumia pesa zake, kwa akili zako ndogo utamuona huyu ni mtu wa maana kumbe huyu anatakiwa aeleze source ya pesa hizi.
Isije kuwa amepewa msaada na wafadhili wa shilling Billion moja, halafu yeye katoa hizo na hujui kawapiga changa kiasi gani!! za mbayuwayu changanya nazako.
 
JF sio sehemu ya porojo sema vizuri visiwa vinachimbwa na Chadema au Mustafa Sabodo yule Muhindi?

Vinajengwa na CDM chini ya ufadhili wa Mustafa Sabodo ktk kile alichoita Saidia CDM... Kama ambavyo CCM inavyopora ma bilioni ya wafadhili na kujinufaisha pasi na miradi lengwa... INAKUUMA EEEEH!??
 
Unaweza kutueleza source of this Income? maana hata Ulaya na America hakuna mbunge anaetumia pesa zake, kwa akili zako ndogo utamuona huyu ni mtu wa maana kumbe huyu anatakiwa aeleze source ya pesa hizi.
Isije kuwa amepewa msaada na wafadhili wa shilling Billion moja, halafu yeye katoa hizo na hujui kawapiga changa kiasi gani!! za mbayuwayu changanya nazako.

Naona umechukuwa mikoba ya Shekh Yahya!
 
Mradi wa Sh40 Milioni? Hiyo pesa hata kisima kimoja huwezi kuchimba..

Chadema bana kila siku mnasema Arusha hakuna CCM ni Chadema tu sasa hao watu 960 wametoka wapi?

40mil za mradi chini ya CDM = 40 Bil chini ya mradi wa CCM. Sababu ni kuwa Bil 39 na mil 60 lazima zichakachuliwe na CCM. Ndiyo maana gharama hupanda wala si bahati mbaya.

Hao unaofikiria ni wanachama wa CCM ni wanachama wakulazimishwa ama sivyo utapoteza kuku, mbuzi etc. Ebu nipe uhakika wa wanachama mlionao kama siyo magumashi na matumizi mabaya ya dola kulazimisha uwanachama.
 
40mil za mradi chini ya CDM = 40 Bil chini ya mradi wa CCM. Sababu ni kuwa Bil 39 na mil 60 lazima zichakachuliwe na CCM. Ndiyo maana gharama hupanda wala si bahati mbaya.

Hao unaofikiria ni wanachama wa CCM ni wanachama wakulazimishwa ama sivyo utapoteza kuku, mbuzi etc. Ebu nipe uhakika wa wanachama mlionao kama siyo magumashi na matumizi mabaya ya dola kulazimisha uwanachama.

Mkuu zile Fusso tatu mtumba Chadema, waliuziwa na Mbowe Sh480 Milioni zinafanya kazi?
 
Upeo wako wa kufikiri umefikia mwisho

Siku zote CHADEMA hamko tayari kukosolewa wala kupokea ushauri, Suala la chama kuwa cha kikanda litawagharimu na wala hamtafikia malengo mnayoyakusudia ya kumweka Padri wenu Ikulu sana sana ataishia kwenda kunywa chai, juisi na kahawa tu.
 
Back
Top Bottom