Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,294
- 271,533
Hii ndio Taarifa ya Sasa inayozunguka kote Duniani, inatajwa kwamba Chama hicho, si tu ni Chama Kikuu cha Upinzani bali ni CHAMA KIKUU CHA SIASA NCHINI TANZANIA
Imeelezwa kwamba si CCM wala vyama mamluki vinavyoweza kushindana n.a. Chadema, Hilo halipo.
Taarifa Hiyo Muhimu imezungumzwa n.a. Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho Dkt Rugemeleza Nshalla ambaye leo anatimiza miaka 30 tangu aapishwe n.a. Jaji Mkuu Francis Nyalali Kuwa Wakili wa Mahakama Kuu
Imeelezwa kwamba si CCM wala vyama mamluki vinavyoweza kushindana n.a. Chadema, Hilo halipo.
Taarifa Hiyo Muhimu imezungumzwa n.a. Mwanasheria Mkuu wa Chama hicho Dkt Rugemeleza Nshalla ambaye leo anatimiza miaka 30 tangu aapishwe n.a. Jaji Mkuu Francis Nyalali Kuwa Wakili wa Mahakama Kuu