CHADEMA Yasimamisha Dodoma

Ukiona mpaka wagogo wamebadilika ujue ikulu hiyooooook
 
we boko naona una mambo ya kitoto sana na unataka kutuendesha humu jf kila muda unaongea kashfa unaona hii nchi kwasababu wewe umenunuliwa pamoja na baako kwasababu ya njaa zako na ww ni mwoga sana wa njaa ndio maana umeamua kujiuza ccm
Na unawasiwasi sana hii nchi ikichuliwa na ukawa utaishi vipi wakati wewe.maisha yako ni kujiuza ccm huu mwaka utaluona na njaa njaa zako
 

Umempa za uso hataka harudi tena
 
Kura ndio mwamuzi.CHADEMA KWENDA kwenda ikulu ni maamuzi ya waelewa wakiwa wengi ikulu tunaingia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…