KirilOriginal
JF-Expert Member
- Feb 13, 2012
- 2,161
- 1,147
Kama ni kweli ccm watahakikisha jimbo la Arusha, Sumbawanga na Igunga uchaguzi unarudiwa kwa wakati mmoja, na hii itakuwa fursa yao nzuri kugawa nguvu ya kampeni kwa upande wa CDM
Msome ngambili ngenja hapo juu....nahisi anasound ukweli fulaniTafadhali weka source ya kuaminika
Mkuu unataka source ipi tena mimi mwenyewe nilikuwepoTafadhali weka source ya kuaminika
Ndo mchezo wao cku hizi. wanatanguliza kuwafrahisha then wanaumiza zaidi Arusha ili kuweka balance lkn dhamira yao imetimia kwa Lema Arusha. tuwe makini na utangulizi huu wa sumbawanga.
Ni kweli mkuungoja tuone itakavyo kuwa kaka.
Mkuu lakini ujue ule sio mkokoteni wa kawaida. Kwa taarifa yako, lile ni gari la ki-falme na ni wachache mno wanapata bahati ya lifti humo.
vipi mkuu utakuwepo kwenye mazishi?
View attachment 67638
Haya. Kipindi cha neema kinanukia (KULA CCM, KURA CHADEMA). Jamani hivi nauli from Mwanza to Sumbawanga ni sh ngapi kwa sasa?
uchaguzi wa kumthibitisha?? nimepapenda hapoNi kweli mkuu Tempolale.Nathibitisha CDM imeshinda kesi na hatimaye sasa utafanyika uchaguzi mdogo Sumbawanga ili kumthibitisha Mwl Nobert Yamsebo kuwa mbunge.
vipi mkuu utakuwepo kwenye mazishi?
View attachment 67638