Chadema yapata wakati mgumu arumeru

Alvin Slain

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
6,375
3,654
Chama cha demokrasia na maendeleo kimezidi kupata wakati mgumu katika harakati zake za kuchukua jimbo la arumeru mashariki ugumu huo umejitokeza baada ya madiwani wote wanaokiwakilisha chama cha mapinduzi kufanya kampeni kila kata ambapo inasemekana kila siku kuanzia jana alhamisi zaidi ya mikutano 45 hufanyika jimbo la arumeru lenye kata 17 zikiwa mikononi mwa chama cha mapinduzi halijawahi kuongozwa na (mb) kutoka chama chochote kutoka upinzani tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 hata hivyo wachambuzi wa mambo ya siasa wanasema chama cha demokrasia na maendeleo chadema chaweza kupewa dhamana na wananchi kutokana na hali ngumu ya maisha jimboni humo!
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimezidi kupata wakati mgumu katika harakati zake za kuchukua jimbo la arumeru mashariki ugumu huo umejitokeza baada ya madiwani wote wanaokiwakilisha chama cha mapinduzi kufanya kampeni kila kata ambapo inasemekana kila siku kuanzia jana alhamisi zaidi ya mikutano 45 hufanyika jimbo la arumeru lenye kata 17 zikiwa mikononi mwa chama cha mapinduzi halijawahi kuongozwa na (mb) kutoka chama chochote kutoka upinzani tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 hata hivyo wachambuzi wa mambo ya siasa wanasema chama cha demokrasia na maendeleo chadema chaweza kupewa dhamana na wananchi kutokana na hali ngumu ya maisha jimboni humo!

Thread yako aina tofauti na porojo anazopiga lusinde na mwigulu kwenye majukwa!unaojaribu kuwadanganya kwa bahati mbaya siyo wapiga kura wakiongozwa na sioi.
 
Chama chenye wakati mgumu hapo ni CDM au CCM? Kwanini CCM watumie msuli namna hii kwenye kampeni ya mwezi mmoja je walikuwa wapi zaidi ya miaka 50? Mie nijuavyo ukiwa madarakani huo muda ukiutumia vizuri ni sawa na kampeni tosha ya uchaguzi unaofuata.
 
Chama chenye wakati mgumu hapo ni CDM au CCM? Kwanini CCM watumie msuli namna hii kwenye kampeni ya mwezi mmoja je walikuwa wapi zaidi ya miaka 50? Mie nijuavyo ukiwa madarakani huo muda ukiutumia vizuri ni sawa na kampeni tosha ya uchaguzi unaofuata.

Na wao ndiyo wenye serikali,miradi na jimbo......kivuli chao wenyewe kinawatoa jasho.
 
Thread yako aina tofauti na porojo anazopiga lusinde na mwigulu kwenye majukwa!unaojaribu kuwadanganya kwa bahati mbaya siyo wapiga kura wakiongozwa na sioi.[/QU haina porojo bali ukweli mkuu
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimezidi kupata wakati mgumu katika harakati zake za kuchukua jimbo la arumeru mashariki ugumu huo umejitokeza baada ya madiwani wote wanaokiwakilisha chama cha mapinduzi kufanya kampeni kila kata ambapo inasemekana kila siku kuanzia jana alhamisi zaidi ya mikutano 45 hufanyika jimbo la arumeru lenye kata 17 zikiwa mikononi mwa chama cha mapinduzi halijawahi kuongozwa na (mb) kutoka chama chochote kutoka upinzani tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 hata hivyo wachambuzi wa mambo ya siasa wanasema chama cha demokrasia na maendeleo chadema chaweza kupewa dhamana na wananchi kutokana na hali ngumu ya maisha jimboni humo!

Hili jimbo limewahi kuongozwa na mbunge wa nccr mageuzi,anaitwa Samwel Mbaruku Kisanga. Kwa hiyo unaposema hili jimbo halijawahi kuongozwa na upinzani,utakua umekosea.
 
Chama cha demokrasia na maendeleo kimezidi kupata wakati mgumu katika harakati zake za kuchukua jimbo la arumeru mashariki ugumu huo umejitokeza baada ya madiwani wote wanaokiwakilisha chama cha mapinduzi kufanya kampeni kila kata ambapo inasemekana kila siku kuanzia jana alhamisi zaidi ya mikutano 45 hufanyika jimbo la arumeru lenye kata 17 zikiwa mikononi mwa chama cha mapinduzi halijawahi kuongozwa na (mb) kutoka chama chochote kutoka upinzani tangu kurejeshwa kwa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992 hata hivyo wachambuzi wa mambo ya siasa wanasema chama cha demokrasia na maendeleo chadema chaweza kupewa dhamana na wananchi kutokana na hali ngumu ya maisha jimboni humo!
mbona unaji-contradict mwenyewe, mara chadema wana wakati mgumu , mara chadema chaweza kupewa dhamana , sas tukuelewe vipi, au ndio mumechanganyikiwa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom