kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.
Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.
Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono dr slaa kwa asilimia 100%.
Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.
kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.
Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.
Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono dr slaa kwa asilimia 100%.
Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.
Bahati mbaya mipango yenu huwa inajulikana mapema.
Niakubaliana na utafiti wa twaweza kwmba ccm inaungwa na wajinga.
Mngelikuwa si wajinga, mngekuwa mnasoma na kuelewa pale mipango yenu inapokuwa imewekwa hadharani kabla hamjaitekeleza juu ya kuhujumu upinzania.
Sioni ajabu mnapokuja na propaganda as if ni kitu kipya!.
Ccm Bye Bye!
Bahati mbaya mipango yenu huwa inajulikana mapema.
Niakubaliana na utafiti wa twaweza kwmba ccm inaungwa na wajinga.
Mngelikuwa si wajinga, mngekuwa mnasoma na kuelewa pale mipango yenu inapokuwa imewekwa hadharani kabla hamjaitekeleza juu ya kuhujumu upinzania.
Sioni ajabu mnapokuja na propaganda as if ni kitu kipya!.
Ccm Bye Bye!
Hivi nyie mnaobisha hivi mnadhani wafuasi wa Dr. Slaa wamefurahishwaa na yanayoendelea na kwamba roho zao Hazina nyama? Binadamu hukuzwa na matukio ya historia. Mwaka huu ni mwaka wa kukuza vijana siyo kimwili bali kiakili na kiroho ili wakomae katika kuchambua mambo kwa mtazamo mpya kabisa. 25 Oktoba watagraduate wengi humu.
Tatizo join date... Ni Kama umefungua hii ID kwaajili ya uchaguzi... IT MASAKI.Chadema kwisha
ukawa ushindi ni lazima hata wakigawanyika mara saba sabini.
Haya majibu ndio yanazidi kuwapa hasira wapiga kura hivi mnajua? Mnazidi kuharibu kwa majibu haya. Wengine wameshaamua kwa hasira watapigia Magufuli ili kukomesha haya maneno ya kejeli. Wewe kura yako si moja, subiri uone sunami ya kura kwenda kwa Magufuli. Na mimi nawa support after all kamanda wangu Dr Slaa hagombei chohotehata kama likigawanyika mara7, bado kura ni kwa LOwasa...na wabunge wa ukawa..
hizo nyingine ni propaganda za LUMUMBA... au masaki IT team!!
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele migogoro imezidi kujikita ndani ya chadema na sasa kuna makundi mawili ambayo ni chadema asilia na chadema pesa.
Hayo yote yamekuja baada ya chama kuwakaribisha mafisadi na kupewa nafasi za kugombea wakati wazalendo wakikosa fursa hizo.
Kundi la pesa linaonekana kuwa na sauti kubwa wakati wa maamuzi ndani ya chama lakini kundi la asilia wao ndio wapiga kura wengi na muda mwingi kundi hili wapo kimya, wanafanya harakati za kimyakimya, wadadishi wa mambo wanadai kundi hili ni kubwa na ndilo linalomuunga mkono Dr Slaa kwa asilimia 100%.
Ni kweli katika hatua hiyo chadema kinaenda kupoteza mwelekeo.