CHADEMA Yajisimika Iramba..

Aluta continue!!!wamezusha kamanda amezimia sijui amekufa,hawana uwezo wa kuua mwili na roho ila ni yule aliyeumba pekee amabaye ndiye Mungu wetu tunayemtegemea!!!
Huyu ndiye kamanda Jesca akichapa kazi kijiji kwa kijiji,kitanda kwa kitanda na jimbo sasa ni laiiiiiiini kama urojo raia wamejitambua sana!!!
 
Mwigulu mwisho wake uko karibu mno. Hawezi kutushusha hivi wakati sisi taifa linatujua.
Siku hizi kelele nyingi mitandaoni mara barabara ya kisasa kidaru, mara maji mampanta, mara kiwanda cha alizeti kitakachoajiri watu 3000 ndago wote ulaghai tu badala afanye kazi yake.
 
 
Last edited by a moderator:

Ngoja Mwigulu mwenyewe anakuja kukujibu.
 
safi sanaaaaaaa makamanda, mpaka sasa hali ya hewa ijaaribika ndani ya thread hii... wapi papa Mwigulu Nchemba
 
Last edited by a moderator:
hayo MATAMBALA YA DEKI AIBU IPO KARIBU,YATARUKWA NA AKILI YATAKAPOIONA CDM IKICHUKUA HILO JIMBO LA MCHEMBE.T2015 CDM
 
Naelekea Kahama sijui nitawakuta Tulya sijui Shelui au KIomboi duh ningefurahi kumsikia live Kiboko ya Mwigulu Jesca ,kila la heri
 
Hhahahaha!!!acheni kuwapa watu preshs bure,nyie chadema au lengo lenu mnataka man u au arsenal zije iramba? acheni hizo jamani
 
mimi mweyewe nimepita sherui na nimeongea na akina mama wa hapo sherui ki ukeli mwiguru ana kazi kubwa sana kuna ahaadi aliitoa kwa hao akina mama ajaitekereza na wameahidi kumpitisha mgombea yeyote wa chadema atakaye gombea hilo jimbo kwani wanasema tundu lisu kawafungua macho hayo si maneno yangu bali ni maneno ya wamama wa sherui
 
Mtasababisha Mwigulu kichaa kimpande...
 

Mkuu usemaye ni kweli tupu.Kwa mfano maeneo ya Kiomboi hakuna mtu anayetaka kusikia neno CCM.
 
Teh teh, mwigulu itabidi ailete barca huko iramba, vinginevyo akusanye waganga wote huko iramba kwa ajili ya kuloga m4c! Naombeni makamanda walioko huko iramba watuwekee namba ya Mpesa ili tuchangie ukombozi kwa ndugu zetu wa iramba!
 
Teh teh, mwigulu itabidi ailete barca huko iramba, vinginevyo akusanye waganga wote huko iramba kwa ajili ya kuloga m4c! Naombeni makamanda walioko huko iramba watuwekee namba ya Mpesa ili tuchangie ukombozi kwa ndugu zetu wa iramba!

Maneno mazito sana haya!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…