CHADEMA yajiengua UKAWA

CHADEMA yajiengua UKAWA

Status
Not open for further replies.
wapinzani wa ukawa wanatamani sana ukawa usambaratike kabla ya oktoba. hakuna jambo linalohofiwa na ccm kama ukawa. kuna kigogo mmoja serikalini alisema kuwa hakuna jambo linalowaumiza ccm kama umoja huu wa upinzani. wanafanya kila mbinu kuchonganisha vyama vinavyounda umoja huu.
 
Duuu chadema ina wasomi weledi waadilifu wengi sana
 
halafu haya majina ya wagombea ubunge wa chadema mbona yamekaa kishamba shamba sana?
 
Mbona hakuna hoja zilizotolewa kiasi kwamba hata mtoto wa darasa la tano akisoma anafahamu kwamba taarifa na uandishi wa habari zipo chini ya kiwango?. Taifa imara mnaliuwa gazeti lenu.
 
Hivi hiyo heading umetumia neno la uchonganishi wakati habari yenyewe ni ya kufikirika...moderator umpeni haki yake mleta uzi...
 
Moderator jamani tunaomba utoe huu upuuzi.......
Maana kichwa cha habari chenyewe kinatangaza uongo mtupu...
 
Msimlaumu katumwa sasa wanampressure sana hivyo inamlazimu kuandika chochote ili aonekane kafanya kazi.
 
eti nini?,cuf imemkubalije YUDA wakati lipumba alisema maamuzi walofanya cdm ni sahihi na wanawaunga mkono.
jana mbatia kasema wanaenda vizuri na wanakaribia kumpata mgombea wa ukawa kwa uraisi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom