chadema mbona mmeshindwa kyela?
Matokeo ya kyela nimeyatoa sehemu
Matokeo ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa wilayani Kyela.Jumla ya Vijiji ni 90,CCM wamepata 79 na CHADEMA 11.Jumla ya Vitongoji ni 401,CCM wamepata 310 na CHADEMA 84 Vitongoji 5 bado kufanyika Uchaguzi.