CHADEMA yaitesa CCM Kyela


KUNA MAMBO MAWILI YA KUANGALIA HAPA , 1 . Mwaka 2009 CDM WALIKUWA NA NINI NA LEO WANA NINI ? 2 . CDM IMECHUKUA MIJI NA MAKAZI YA WATU WAKATI CCM IMESHINDA MAPORI NA MASHAMBA ! ANGALIA HAPA KWA MFANO IDADI YA WAPIGA KURA WA KYELA MJINI NA WALE WA KATYONGOLI AU NDAMBA HAIFANANI KABISA , KWA MAANA HIYO KAMA WAGOMBEA WANGEKUWA WAWILI TU KAMA VILE WABUNGE, CCM INGEANGUKIA PUA VIBAYA SANA !
 
Book 7 wahi huku la sivyo leo mtakuwa hamlipwi, shauri yenu.

CC: Msalani, Lizaboni, Rutashobolwa, GSU, Simiyu yetu, Faiza Foxy
Haya mazimwi usiyakumbuke ni kama ukoma! Huwa yanabisha hata majina yao pia hayajielewi,ni misukule ya Lumumba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…