Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Nikatika oparesheni chadema ni msingi Kata ya Rwamgasa jimbo la Busanda.Waliovua gamba Leo ni 1.Mwala Mwala-mshindi wa pili kura za maoni za udiwani CCM 2010 Kata ya Rwamgasa 2.Joyce Kipuyu-mgomb
ea udiwani Viti maalumu CCM 2010 Kara ya Rwamgasa 3.Dorothea Bundala-mhamasijaji wa mbunge kata ya Rwamgasa 2010 4.Mabalozi 4 na wanachama wapya 78.Kikosi ni Naibu katibu mkoa wa Geita Kamanda Rogers Ruhega,Dear Mama,Idimulwa na makamanda wengine wengi.Kesho ni eneo la Kirombero.
ea udiwani Viti maalumu CCM 2010 Kara ya Rwamgasa 3.Dorothea Bundala-mhamasijaji wa mbunge kata ya Rwamgasa 2010 4.Mabalozi 4 na wanachama wapya 78.Kikosi ni Naibu katibu mkoa wa Geita Kamanda Rogers Ruhega,Dear Mama,Idimulwa na makamanda wengine wengi.Kesho ni eneo la Kirombero.