CHADEMA yaingia Kanda ya Kusini

Safi sana. Wananchi wakishapewa somo kuhusu madhila ya ccm wanapewa na futari wasipate shida kuwahi muda wa kufuturu. Big up CHADEMA
 

Kwahiyo wakienda kwenye futari ndio wataona matokeo? Mtu mzima kuleta story isiyochekesha nayo ni aibu ya aina fulani.
 
Kwahiyo wakienda kwenye futari ndio wataona matokeo? Mtu mzima kuleta story isiyochekesha nayo ni aibu ya aina fulani.
Kwani umeandika nini mbona sijaelewa? 🀣🀣
 
yaani wewe ni mpumbavu kuliko wapumbavu wengine, VIJANA wa CCM mtakua na akili kidogo lini? Nachoka kuwaelekeza kila siku
 
Acheni upumbavu wenu nyie, muwage na akili kidogo tafadhali, acheni kutumia makalio kufikiria
Kama mna kiongozi kaliba ya jambazi sikushangai kutoa mitusi hiyo
 
Haya mambo ya kukusanya watu always ni muhimu kua na kitu kitakacho wavutia. Kama ambavyo tuliona upande wa pili walivyokua wanajaza wasanii. Vinginevyo bila kufanya hivyo basi mapenzi ya wananchi yapo juu sana kwa wakati huo
 
yaani wewe ni mpumbavu kuliko wapumbavu wengine, VIJANA wa CCM mtakua na akili kidogo lini? Nachoka kuwaelekeza kila siku
Wahi hospital una tatizo la Afya ya akili ndugu mtabiri 😁😁
 
Ingekuww zama zile za giza, OCD wa Kilwa angeweza kujitokeza hafharani na kuwaambia kila mtu akafuturu kwake kwani hali ya usalama haijakaa vizuri maeneo hayo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…