CHADEMA yaimarika UDOM

CHADEMA yaimarika UDOM

Someni Jamani siasa sio masomo mliotumwa kujifunza. Ndio maana tunashindwa kuandika mikataba. Kata funua. Ndio tunajua
 
Hivi kumbe chadema IPO? Na muda sijaisikia
 
Watu wa Musoma Mara wanapenda kuongoza.Chacha,Waitara,Mwita,.Serikali za vyuo hutokosa kiongozi wa juu kutoka Musoma.
Nakumbuka Waitara alikuwa rais Daruso.
 
Sahihi kabisa.Ninajiuliza sipati majibu. Wanakula nini hawa jamaa? Halafu majasiri mnooo+
mkuu nafikiri wanakula sana vichwa vya samaki chengu wangali watoto.ila siku akitokea rais wa nchi wa pande zile.itakuwa mshikemshike tena
 
mkuu nafikiri wanakula sana vichwa vya samaki chengu wangali watoto.ila siku akitokea rais wa nchi wa pande zile.itakuwa mshikemshike tena
Mlimkataa Makongoro. Mkamkata Muhongo mkamsusa Wassira.
Unaona timu hiyo watu wanne toka mkoa mmoja.
 
Back
Top Bottom