Sango Ochwera
Member
- Mar 20, 2013
- 98
- 26
Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) kimekiburuza chama cha mapinduzi katika uchaguzi wa serikali ya Wanafunzi uliofanyika leo katika chuo kikuu cha Jordan baada ya mgombea wa Chadema Norbert Gama kuibuka mshindi na kumburuza kada wa Chama cha Mapinduzi na mtangazaji wa Radio Maria Fm Frank Mwanyangala.
Awali,Chama cha mapinduzi mkoa wa Morogoro kilifanya njama za kutaka kumnunua Kamanda Gama bila mafanikio huku mpango huo ukiratibiwa na mwenyekiti wa CCM kata ya Kilakala bwn Fransis Hoza kwa maelekezo ya mwenyekiti wa CCM mkoa Innocent Karogeres.
Awali,Chama cha mapinduzi mkoa wa Morogoro kilifanya njama za kutaka kumnunua Kamanda Gama bila mafanikio huku mpango huo ukiratibiwa na mwenyekiti wa CCM kata ya Kilakala bwn Fransis Hoza kwa maelekezo ya mwenyekiti wa CCM mkoa Innocent Karogeres.