Wacha urongo wewe, nilikuwepo hata mimi kwenye huo mkutano, nilichoshuhudia ni aibu zifuatazo:
1. Mgombea ubunge ndg Patrobas Katambi kuzomewa na wananchi kwa kumuita nakuja ( si makazi wa Shy)
2. Sintofahamu na mpasuko baina ya viongozi wa CDM Shy Mjini.
3. Kutambulishwa wagombea udiwani wawili ktk kata moja ya Ngokolo, ndg Onesmo- Cuf na ndg Ntobi- CDM.
4. Zones zomea iliyompata Lembeli na Mpendazoe.
5. Idadi ndogo ya watu waliojitokeza ktk mkutano tofauti na ilivozooeleka hapa SHY.
5. Mgombea, ndg Katambi kutuma zaidi ya robot tatu ya hotuba yake kuzungumzia sinema ya kuteka badala ya kueleza ataifanyia nini Shy na wakazi wake iwapo wakimchagua kuwa Mbunge.
Wacha urongo wewe, nilikuwepo hata mimi kwenye huo mkutano, nilichoshuhudia ni aibu zifuatazo:
1. Mgombea ubunge ndg Patrobas Katambi kuzomewa na wananchi kwa kumuita nakuja ( si makazi wa Shy)
2. Sintofahamu na mpasuko baina ya viongozi wa CDM Shy Mjini.
3. Kutambulishwa wagombea udiwani wawili ktk kata moja ya Ngokolo, ndg Onesmo- Cuf na ndg Ntobi- CDM.
4. Zones zomea iliyompata Lembeli na Mpendazoe.
5. Idadi ndogo ya watu waliojitokeza ktk mkutano tofauti na ilivozooeleka hapa SHY.
5. Mgombea, ndg Katambi kutuma zaidi ya robot tatu ya hotuba yake kuzungumzia sinema ya kuteka badala ya kueleza ataifanyia nini Shy na wakazi wake iwapo wakimchagua kuwa Mbunge.
Wacha urongo wewe, nilikuwepo hata mimi kwenye huo mkutano, nilichoshuhudia ni aibu zifuatazo:
1. Mgombea ubunge ndg Patrobas Katambi kuzomewa na wananchi kwa kumuita nakuja ( si makazi wa Shy)
2. Sintofahamu na mpasuko baina ya viongozi wa CDM Shy Mjini.
3. Kutambulishwa wagombea udiwani wawili ktk kata moja ya Ngokolo, ndg Onesmo- Cuf na ndg Ntobi- CDM.
4. Zones zomea iliyompata Lembeli na Mpendazoe.
5. Idadi ndogo ya watu waliojitokeza ktk mkutano tofauti na ilivozooeleka hapa SHY.
5. Mgombea, ndg Katambi kutuma zaidi ya robot tatu ya hotuba yake kuzungumzia sinema ya kuteka badala ya kueleza ataifanyia nini Shy na wakazi wake iwapo wakimchagua kuwa Mbunge.